Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanuni za Fifa, CAF zamrudisha darasani Kaseja

Kanuni na sheria mpya zilizopitishwa na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) na lile la Afrika (CAF) zimemlazimu kipa wa zamani wa Simba, Juma Kaseja kurudi darasani ili aongeze ujuzi wa fani ya ukocha aliyoianza mwaka jana. Kaseja ambaye hajaonekana muda mrefu kwenye mechi za Ligi Kuu inayoendelea kutokana na mgogoro unaoendelea baina yake na klabu yake ya Yanga, alipata elimu yake ya awali kwenye fani hiyo mwaka jana mjini Morogoro chini ya mkufunzi Meja mstaafu Abdul Mingange.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Yanga yamtema Kaseja Caf

Kipa wa Yanga Juma Kaseja. Na Mwandishi Wetu
YANGA imetuma majina 23 kwa ajili ya kikosi chao kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini imemtema kipa Juma Kaseja. Katika majina yaliyotumwa kwenye makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf), hakuna jina la Kaseja.
Caf imeipanga Yanga kuanza na BDF ya Botswana, ambayo ni timu inayomilikiwa na jeshi la ulinzi la nchi hiyo. Habari za uhakika kutoka Caf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kutolewa Mali, CAF kuangalia upya kanuni

Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limesema litaupitia upya utaratibu wa kumpata mshindi kwa njia ya bahati nasibu baada ya timu kuwa sawa katika hatua ya makundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA kubadili baadhi ya kanuni

Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA lina mpango wa kuzifanyia marekebisho kanuni zake ili kuzibana nchi zinazowania kuandaa Kombe la Dunia.

 

10 years ago

BBC

Caf says it supports Fifa reforms

The Confederation of African Football says it has taken note of Fifa chief Sepp Blatter's resignation and fully supports reforms.

 

10 years ago

BBC

Caf - Fifa elections should proceed

The Confederation of African Football says the Fifa presidential elections should go ahead as planned on Friday.

 

10 years ago

BBC

Caf will not back Bility's Fifa bid

The Confederation of African Football declines to support Liberian FA chief Musa Bility in his bid to become Fifa president.

 

10 years ago

BBC

Four Fifa presidential hopefuls visit Caf

Four of the seven candidates eyeing the Fifa presidency have visited the Confederation of African Football at its headquarters in Cairo.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF: Uchaguzi wa FIFA uendelee mbele

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limendekeza uchaguzi wa urais wa shirikisho la soka duniani FIFA uendelee mbele kama ulivyopangwa.

 

10 years ago

BBC

Caf set to elect new Fifa members

The Confederation of African Football will on Tuesday elect two new members of Fifa's executive committee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani