Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutolewa Mali, CAF kuangalia upya kanuni

Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limesema litaupitia upya utaratibu wa kumpata mshindi kwa njia ya bahati nasibu baada ya timu kuwa sawa katika hatua ya makundi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo za Caf kutolewa Januari

Shirikisho la soka barani Afrika CAF litatoa tuzo kwa wanamichezo bora Januari 8 huko Lagos Nigeria.

 

9 years ago

StarTV

 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.

Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.

Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...

 

11 years ago

Habarileo

Vitambulisho vya kura kutolewa upya

VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .

 

9 years ago

Mwananchi

Ipo haja ya kuangalia upya utaratibu wa safari za Hija

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata), idadi ya Watanzania waliofariki kwa ajali ya kukanyagana wakati wa ibada ya Hija katika mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia imeongezeka kutoka wanne hadi wanane.

 

11 years ago

CloudsFM

VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA KUTOLEWA UPYA

VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
Tofauti na vitambulisho vya awali vya karatasi vilivyotolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, vipya vitakuwa vya plastiki. Vimebadilishwa kutokana na matumizi ya teknolojia mpya katika uandikishaji.

Teknolojia itakayotumika ni ya Biometric Voter...

 

9 years ago

StarTV

 Serikali yashauriwa kuangalia upya kodi kwa shule binafsi

Wadau wa sekta ya elimu nchini,wameishauri serikali kuangalia upya sera yake katika masuala ya kodi kwa shule binafsi ambazo zinakwaza mendeleo ya sekta hiyo huku mzigo mkubwa ukibaki kuzielemea shule hizo pamoja na wazazi.

Wakizungumzia maendeleo ya elimu kwa shule binafsi wadau hao wamesema kazi inayofanyika ni kwa niaba ya serikali kwa kuwasomesha watoto wa watanzania na kuondoa dhana ya kwamba ni eneo la kujitengenezea faida.

Wadau hao akiwemo Mkurugenzi  wa taasisi ya kielimu ya THE...

 

10 years ago

Mwananchi

Kanuni za Fifa, CAF zamrudisha darasani Kaseja

Kanuni na sheria mpya zilizopitishwa na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) na lile la Afrika (CAF) zimemlazimu kipa wa zamani wa Simba, Juma Kaseja kurudi darasani ili aongeze ujuzi wa fani ya ukocha aliyoianza mwaka jana. Kaseja ambaye hajaonekana muda mrefu kwenye mechi za Ligi Kuu inayoendelea kutokana na mgogoro unaoendelea baina yake na klabu yake ya Yanga, alipata elimu yake ya awali kwenye fani hiyo mwaka jana mjini Morogoro chini ya mkufunzi Meja mstaafu Abdul Mingange.

 

9 years ago

StarTV

Wizara ya elimu nchini yaombwa kuangalia upya mitaala ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari

 

Wizara ya elimu nchini imeombwa kuangalia upya mitalaa ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili iwe na uhusiano na mazingira halisi ya Watanzania.

Elimu inayotolewa sasa imekuwa ikilalamikiwa kuwa haimwezeshi mwanafunzi kumudu mazingira yanayomzunguka na badala yake inamsaidia kufaulu kutoka darasa moja kwenda jingine.

Katika mkutano huo Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Dokta Fidelis Mafumiko ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika mkutano wa kufunga...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

VIDEO: Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.

Mbunge wa Kigoma Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani