Yanga yaanza jalamba na wachezaji saba tu, Kaseke ndani
Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm (kulia) akifuatilia kwa karibu mazoezi ya leo
Na Dickson Masanja
Yanga imeanza rasmi mazoezi yake leo asubuhi kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Karume uliopo kwenye ofisi za TFF Ilala jijini Dar es Salaam tayari kujiandaa na michuano mbalimbali inayoikabili ikiwemo ile ya Kagame Cup, ligi kuu Tanzania bara pamoja na michuano ya klabu bingwa barani Afrika.Mazoezi hayo yameongozwa na kocha mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm akisaidiwa na kocha wa makipa Juma...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV14 Aug
Taifa Stars yaanza mazoezi bila wachezaji wa Yanga, Azamfc.
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.
Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Hisani...
10 years ago
Mtanzania25 May
Kaseke avuna mil 88/- Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA winga wa Mbeya City, Deus Kaseke, amevuna takribani Sh milioni 88 kwenye mkataba wa miaka miwili aliousaini jana kujiunga na mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), timu ya Yanga.
Kaseke anaondoka Mbeya City kama mchezaji huru, kutokana na kumaliza mkataba ndani ya timu hiyo, ambayo haijavuna chochote kwenye usajili wa winga huyo kwenda Yanga.
Kiasi hicho cha fedha kinatokana na dau la Sh milioni 40 lililomwezesha kusaini,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uXW0-78Tmug/VY7ak-tIaLI/AAAAAAABNOU/kpZKRlZQBhk/s72-c/5.jpg)
YANGA VS VILLA HAKUNA MBABE, MSUVA APAISHA PENALTI, MWASHYUYA, KASEKE WATAKATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uXW0-78Tmug/VY7ak-tIaLI/AAAAAAABNOU/kpZKRlZQBhk/s640/5.jpg)
Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na SC Villa ya Uganda imemalizika kwa sare ya 0-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva amekosa penati waliyopata Yanga katika kipindi cha pili baada ya kupaisha bonge ya ‘mnazi’.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kTTUCCt4nQs/VY7ak7IeyfI/AAAAAAABNOY/TaeFtJ9RuRM/s640/4.jpg)
Acha hayo yote, burudani ilikuwa zaidi kwa Geofrey Mwasyuya na Deus Kaseke ambao walicheza vizuri katika mechi ya leo.Uwezo waliouonyesha wawili hao kwa kushirikiana na Malimi Busungu, imeonyesha Yanga inaweza kuwa na kikosi bora zaidi hapo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuXLar6G9OlTN2Vojnpm1c1YyOoIOtVm4-ZxOekptakXjXAxyA24Diw9qt0W0gOigVvxKs3s0Fa9IJ3Wv1FO2Vd/MwanachamaMpya.jpg?width=650)
PSPF YAPATA MWANACHAMA MPYA NDANI YA MAENESHO YA SABA SABA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RTpMXmPQyLg/U7kvqdIFBiI/AAAAAAACk0Q/7tA1Dlf8yLM/s72-c/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-eF1Ms3pplEA/U7W8mZsUPXI/AAAAAAAA8wg/QogmP8Rz42I/s1600/IMG_0645.jpg)
ACCESS BANK YAWAKARIBISHA KUPATA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s72-c/IMG_0668.jpg)
ACCESS BANK YAWAKARIBISHA MPATE HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s1600/IMG_0668.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aUguGqxFHBo/U7W9pb5HU-I/AAAAAAAA8ww/5VfeSP6SZQ8/s1600/IMG_0647.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cPxyADPemPI/U7W-U6eAsEI/AAAAAAAA8xA/Gz2NsanCC1Y/s1600/IMG_0657.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QQ1zc74cOq4/U7UbuwEDMTI/AAAAAAAFugs/SrSH7WpbF88/s72-c/IMG_1475.jpg)
TWIGA BANCORP YAENDELEA KUTOA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-QQ1zc74cOq4/U7UbuwEDMTI/AAAAAAAFugs/SrSH7WpbF88/s1600/IMG_1475.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JPI3LYgN3ig/U7Ub7dP9A5I/AAAAAAAFug4/veNbzuNehkE/s1600/IMG_1506.jpg)