Mikataba kuikamua Yanga Sh500 mil
Klabu ya Yanga ipo hatarini kupoteza mamilioni ya fedha kama fidia kutokana na kutothamini, kutoheshimu mikataba baina yake na wadau mbalimbali wa soka ndani na nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Yanga yatumia Sh500 mil kwa nyota wanane
Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wametumia zaidi ya Sh500 milioni kununua wachezaji nyota wanane katika kipindi cha miaka tatu.
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mtanzania ashinda Sh500 mil
Mshindi wa Big Brother Africa Hotshots 2014, Idris Sultan (21) amesema anataka kuwa mfano wa kuigwa kwa kuwa amejifunza mengi kwa washindi waliopita wa mashindano hayo ya televisheni ya maisha halisi.
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Taasisi yasaidia Saccos Sh500 mil
Mradi wa kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo, umetoa mikopo ya Sh590 milioni kwa vyama saba vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwakopesha wanachama wake.
11 years ago
Mwananchi19 Sep
Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil
‘Maisha yanakwenda kasi’, huo ndio ukweli baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Azam kutumia Sh565 milioni kusajili nyota sita akiwamo mchezaji ghali zaidi msimu huu, Leonel Saint-Preux.
11 years ago
GPLYANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' (katikati) akipiga shuti wakati timu yake ikicheza na Rhino Rangers uwanja wa Taifa jana. Mechi za Ligi Kuu ya Vodacom zilizohusisha timu za Simba na Yanga na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wikiendi zimeingiza jumla ya sh. 139,850,000. Mrisho Ngassa wa Yanga (kushoto) akipiga mpira huku akizongwa na mchezaji wa Ashanti katika mechi yao uwanja wa Taifa juzi. Yanga… ...
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Katibu mkuu Yanga kupitia upya anza na mikataba ya udhamini
Katibu mpya wa Yanga, Dk . Jonas Tiboroha , ametangaza mikakati yake ya kuhakikisha klabu hiyo inajiendesha kiuchumi ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba yote ya wadhamini.
10 years ago
Michuzi
YANGA, ETOILE ZAINGIZA MIL 22

Jumla ya watazamaji 36,105 walikata tiketi kuhudhuria mchezo huo, huku VIP A zikikatwa tiketi 68, VIP B tiketi 869, VIP C tiketi 582, Orange tiketi 1,955 na viti vya rangi ya Bluu na Kijani tiketi 32,631 ziliuzwa.
Mgawanyo wa mapato ni VAT 18% sh....
11 years ago
GPL
YANGA KUVUNA MIL 90 CAF
Katibu Mkuu wa Yanga Bw. Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni ya SGM Bw. Francis Goitha Klabu ya Young Africans SC imeingia mkataba wa kurusha mchezo wake wa hatua ya kwanza ya mashindano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya timu ya Alh Ahly ya Misri kwa gharama ya dola za kimarekani elfu 55,000 sawa na mil 90/= za kitanzania kwa muda wa dakika 90. Akiongea...
10 years ago
Vijimambo06 Jun
MIL 96 KUTEKETEZA BATA LA YANGA

Sherehe hizo zimepangwa kufafanyika Juni 16 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam na zitaenda sambamba na utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora na uzinduzi wa kitabu cha Historia ya Yanga kilichoandikwa na Peter Ching’ole.MAMBO ya fedha bwana! Klabu ya Yanga inatarajiwa kutumia kiasi cha Sh96 milioni kwa ajili ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ilioutwaa hivi karibuni.
Sherehe hizo zimepangwa kufafanyika Juni 16 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania