Katibu mkuu Yanga kupitia upya anza na mikataba ya udhamini
Katibu mpya wa Yanga, Dk . Jonas Tiboroha , ametangaza mikakati yake ya kuhakikisha klabu hiyo inajiendesha kiuchumi ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba yote ya wadhamini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Lowassa kupitia upya mikataba
MAELFU ya wakazi wa mji wa Songea mkoani Ruvuma, jana walifurika katika uwanja wa Matalawe kuhudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.
Hali hiyo ilitokea mjini Songea jana jioni wakati Lowassa alipowasili akitokea Mkoa wa Njombe alikohutubia mikutano miwili ya hadhara juzi katika miji ya Makambako na Njombe.
Wakati wa mapokezi ya mgombea huyo mjini hapa, walikuwapo...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Lowassa kupitia upya mikataba ya gesi
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Waziri Mkuu aitaka TPA kupitia upya zoezi la fidia kwa wananchi wa Kigoma
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari. (Picha na Emmanuel Senny).
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N4AkTxnHu1tXI2TqOgrWz5VK1QExBf6o3E7db1udD8voPUSBNKacsrqk20wBececQUCVk2KDvg8-Box1qIrnVSl/mahaba.jpg?width=650)
MWAKA UNAISHA, ANZA UPYA KWA MWENZI WAKO!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b8bK2UAAHgs/VUsWwt7jYQI/AAAAAAAHV0o/WIeSq-jwVto/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
10 years ago
Habarileo02 Jan
Vyama vyataka mikataba Tanesco kupitiwa upya
SERIKALI imetakiwa kupitia upya mikataba ya umeme ili kuwasaidia wananchi waweze kunufaika na miradi ya umeme inayozalishwa nchini.
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Katibu mkuu mpya Yanga Jonas Tibohora .
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-081VWrHkLc4/XufeSGoBkbI/AAAAAAALt84/58aZUJBHF9Q-oO-P8t9nWDffB0Jkrr2SQCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
YANGA YAAACHANA NA KATIBU MKUU DKT RUHAGO
Na Zainab Nyamka
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeachana na Katibu wake Dkt David Ruhago baada ya kufikia makubaliano kwa pande zote mbili.
Taarifa iliyotolewa na Klabu hiyo wamesema kuwa makubaliano ya kusitisha mkataba wa ajira ya Ukatibu Mkuu ndani ya Yanga yamefikiwa leo Juni 15 mwaka huu.
Taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga Hassan Bumbuli imesema kusitishwa kwa ajira hiyo ni baada ya majadiliano ya pande zote mbili kwa maslahi mapana ya Klabu ya Yanga.
Amesema, kufuatia...