Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa kupitia upya mikataba

Pg 1 lowassasMAELFU ya wakazi wa mji wa Songea mkoani Ruvuma, jana walifurika katika uwanja wa Matalawe kuhudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.

Hali hiyo ilitokea mjini Songea jana jioni wakati Lowassa alipowasili akitokea Mkoa wa Njombe alikohutubia mikutano miwili ya hadhara juzi katika miji ya Makambako na Njombe.

Wakati wa mapokezi ya mgombea huyo mjini hapa, walikuwapo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kupitia upya mikataba ya gesi

Mgombea wa urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ameahidi kuunda kamati maalumu kuchunguza mikataba yote ya gesi asilia na mafuta.

 

10 years ago

Mwananchi

Katibu mkuu Yanga kupitia upya anza na mikataba ya udhamini

Katibu mpya wa Yanga, Dk . Jonas Tiboroha , ametangaza mikakati yake ya kuhakikisha klabu hiyo inajiendesha kiuchumi ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba yote ya wadhamini.

 

10 years ago

Habarileo

Vyama vyataka mikataba Tanesco kupitiwa upya

Katibu Mkuu wa SAU, Ali Kaniki SERIKALI imetakiwa kupitia upya mikataba ya umeme ili kuwasaidia wananchi waweze kunufaika na miradi ya umeme inayozalishwa nchini.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Nitapitia mikataba ya gesi

mtz1NA FLORENCE SANAWA, MTWARA

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema kama akichaguliwa kuwa rais, ataunda tume ya kuchunguza na kushughulikia mikataba yote ya gesi.

Akihutubia mamia ya wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara jana, Lowassa alisema kama wananchi wakimpa ridhaa ya kuongoza Tanzania, atakahakikisha wanapatikana wataalamu kutoka ndani na nje ya nchi...

 

10 years ago

Habarileo

Vyuo vikuu vyaaswa kupitia upya mitaala wahitimu kujiajiri

VYUO vikuu nchini vimeshauriwa kuangalia upya mitaala yao ili viwe na mfumo wa kutengeneza mazingira ya vijana kujiajiri mara baada ya kuhitimu masomo yao ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa ajira uliopo hivi sasa.

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa: Nitaunda tume ya mikataba ya gesi asilia

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa amewaahidi wakazi wa Mtwara kuwa endapo atachaguliwa kuwa rais, ataunda tume maalumu kuchunguza mikataba ya gesi asilia.

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu aitaka TPA kupitia upya zoezi la fidia kwa wananchi wa Kigoma

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majariwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari (Picha na Emmanuel Senny) (2)

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari. (Picha na Emmanuel Senny).

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majariwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari (Picha na Emmanuel Senny)

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya kulifungua. (Picha na Emmanuel Senny) (1)

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA AWA GUMZO UPYA!

Mwandishi Wetu Hakuna ubishi kuwa jina la Edward Lowassa limepamba vichwa vya habari nchini kwa miezi kadhaa huku gumzo jipya kumhusu mwanasiasa huyo likitokana na safari yake ya kuelekea muungano wa nyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi ( Ukawa) kutangazwa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1SMh6Kh

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani