Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA, ETOILE ZAINGIZA MIL 22

Mchezo no.91 wa Kombe la Shirkisho barani Afrika (CC) hatua ya 16 bora uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam, kati ya wenyeji timu ya Young Africans dhidi ya Etoile du Sahel kutoka Tunisia umeingiza jumla ya sh. 223,135,000.
Jumla ya watazamaji 36,105 walikata tiketi kuhudhuria mchezo huo, huku VIP A zikikatwa tiketi 68, VIP B tiketi  869, VIP C tiketi 582, Orange tiketi 1,955 na viti vya rangi ya Bluu na Kijani tiketi 32,631 ziliuzwa.
Mgawanyo wa mapato ni VAT 18% sh....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SIMBA, YANGA ZAINGIZA MIL 436

 Mechi no.117 iliyowakutanisha Simba na Yanga katika uwanja wa Taifa, imeingiza jumla ya sh. milioni 436,756,000 kutokana na idadi ya watazamaji 49,758 waliokata tiketi kushuhudia mchezo huo.
Watazamaji 309 walikata tiketi za VIP A, 1,310 VIP B, 1,533 VIP C, Rangi ya Machungwa (Orange) 9,913 huku viti vya rangi ya bluu na kijani wakiingia watazamaji 36,693.
Mgawanyo wa mapato ya mchezo huo ni VAT 18% sh.66,623.796, FDF timu mwenyeji sh. 17,415,300, FDF TFF sh.7,463,700, Gharama za tiketi...

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS, ZIMBABWE ZAINGIZA MIL 63, LIGU KUU TANZANIA BARA KUANZA AGOSTI 24 MWAKA HUU

Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumza na vyombo vya habari. Waandishi wa habari wakisikiliza. Stori: Na Gabriel Ng'osha OFISA Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumzia kuhusiana na mapato yaliyotokana na mechi kati ya Taifa Stars na Zimbabwe iliyochezwa wiki iliyopita ambapo jumla ya shilingi milioni 63 zilipatikana baada ya mashabiki...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City na Yanga zaingiza Sh175milioni, zaambulia Sh84milioni

Mbeya City na Yanga zaingiza Sh175milioni, zaambulia Sh84milioni

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga kuivaa Etoile Afrika

Mechi ya Yanga SC na Platnum FC iliyochezewa uwanja wa Taifa Dar
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa, timu ya Yanga, itacheza dhidi ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika hatua ya 16-Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika, imefahamika.

Yanga itaikabili Etoile baada ya miamba hao wa Tunisia kulazimisha sare ya 1-1 ugenini Angola dhidi ya Benfica jana na hivyo kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 kufuatia ushindi wa 1-0 katika mechi yao ya kwanza.

Yanga watacheza dhidi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Etoile na Yanga kupimana ubavu

Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inategemewa kuwasili Dar es Salaam wiki hii kwa ajili ya mechi dhidi ya Yanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Etoile gusa unase

Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Hans Pluijn ana siku mbili za kutafuta mbinu sahihi za kuzuia mashambulizi hatari ya kipindi cha kwanza ya Etoile du Sahel ya Tunisia, Jumamosi kwa ajili ya kujihakikisha matokeo mazuri kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Etoile ni vita pevu

Sousse, Tunisia. Yanga imefanyiwa vurugu za kila namna baada ya kutua jijini Tunis na wapinzani wao, Etoile du Sahel juzi, lakini kocha Hans Pluijm amesema hakuna kipya katika vitimbi hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga kukwaana na Etoile du Sahel

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu ya kombe la Shirikisho barani Afrika watacheza na Etoile du Sahel ya Tunisia.

 

10 years ago

GPL

Yanga SC watengewa 500m waiue Etoile

Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini. Khadija Mngwai na Saphyna Mlawa
INAWEZEKANA safari hii Yanga wamejipanga kisawasawa na hawataki tena historia iwatafune, hiyo ni baada ya kuelezwa kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga donge nono kwa wachezaji wake kuhakikisha wanaitoa Étoile du Sahel ya Tunisia katika Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga inatarajiwa kukipiga na Waarabu hao katika raundi ya pili ya michuano hiyo ambapo mechi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani