Yanga, Etoile gusa unase
Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Hans Pluijn ana siku mbili za kutafuta mbinu sahihi za kuzuia mashambulizi hatari ya kipindi cha kwanza ya Etoile du Sahel ya Tunisia, Jumamosi kwa ajili ya kujihakikisha matokeo mazuri kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Jan
GUSA GUSA MIN BAND NDANI YA OLD IS GOLD SAFARI CARNIVAL KILA JUMAPILI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-l0gGvPJyv28%2FVKzlMLQ-uwI%2FAAAAAAADVC0%2FWWWW3uMh0as%2Fs1600%2F10899706_771168609629953_1343823646_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Andrew ChaleBendi ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima kila Jumapili katika usiku wa Old is Gold Taarab ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa itakuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za...
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili ya leo
.. Njoo tufurahie pamoja kusherekea siku ya Mama Duniani (Mother’s Day)
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Bendi ya taarab ya ‘Gusa Gusa Min Band,’ itatoa burudani ya aina yake Jumapili ya Machi 15 katika usiku wa Old is Gold Taarab pamoja na kusherehekea siku ya Mama Duniani (Mother’s Day) ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, alibainisha kuwa, bendi hiyo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival kila Jumapili
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Na Andrew ChaleBendi ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima kila Jumapili katika usiku wa Old is Gold Taarab ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa itakuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa."Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa mwambao ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s72-c/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s1600/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
BENDI ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima tena Jumapili hii katika usiku wa Old is Gold Taarab , ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa imekuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa huku ikikusanya mashabiki lukuki.
Aidha, alisema muimbaji...
10 years ago
Dewji Blog16 May
Usiku wa Old Is Gold na Gusa Gusa Min band ndani ya Hugo House Kinondoni Jumapili hii
![11231914_1144808635544922_2269725808570836614_o](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/11231914_1144808635544922_2269725808570836614_o-e1431778746302.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Ule usiku wa Old is Gold Taarab na Bendi yenye ubora katika muziki wa mwambao ya GUSA GUSA Min Band, Jumapili hii ya Mei 17 na Jumapili nyingine kila wiki watatoa burudani ya nguvu na ya aina yake kwenye ‘kiota’ kipya ndani ya Hugo House, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Shoo hiyo inatarajia kuanza kuanzia majira ya saa mbili usiku na kuendelea, ni ya aina yake kwa wadau na wapenzi wa taarab...
10 years ago
Vijimambo16 May
GUSA GUSA MIN BAND NDANI YA USIKU WA OLD IS GOLD HUGO HOUSE KINONDONI JUMAPILI HII MEI 17
![11231914_1144808635544922_2269725808570836614_o](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/11231914_1144808635544922_2269725808570836614_o-e1431778746302.jpg)
Ule usiku wa Old is Gold Taarab na Bendi yenye ubora katika muziki wa mwambao ya GUSA GUSA Min Band, Jumapili hii ya Mei 17 na Jumapili nyingine kila wiki watatoa burudani ya nguvu na ya aina yake kwenye ‘kiota’ kipya ndani ya Hugo House, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Shoo hiyo inatarajia kuanza kuanzia majira ya saa mbili usiku na kuendelea, ni ya aina yake kwa wadau na wapenzi wa taarab nchini huku...
10 years ago
Vijimambo06 Apr
Yanga kuivaa Etoile Afrika
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/msuva-yanga.jpg)
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa, timu ya Yanga, itacheza dhidi ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika hatua ya 16-Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika, imefahamika.
Yanga itaikabili Etoile baada ya miamba hao wa Tunisia kulazimisha sare ya 1-1 ugenini Angola dhidi ya Benfica jana na hivyo kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 kufuatia ushindi wa 1-0 katika mechi yao ya kwanza.
Yanga watacheza dhidi ya...
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Yanga kukwaana na Etoile du Sahel
10 years ago
Mwananchi02 May
Yanga, Etoile ni vita pevu