GUSA GUSA MIN BAND NDANI YA USIKU WA OLD IS GOLD HUGO HOUSE KINONDONI JUMAPILI HII MEI 17
..Wadau wa mwambao kukutana kila jumapili kwenye kiotaa hicho kipyaNa Mwandishi Wetu
Ule usiku wa Old is Gold Taarab na Bendi yenye ubora katika muziki wa mwambao ya GUSA GUSA Min Band, Jumapili hii ya Mei 17 na Jumapili nyingine kila wiki watatoa burudani ya nguvu na ya aina yake kwenye ‘kiota’ kipya ndani ya Hugo House, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Shoo hiyo inatarajia kuanza kuanzia majira ya saa mbili usiku na kuendelea, ni ya aina yake kwa wadau na wapenzi wa taarab nchini huku...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 May
Usiku wa Old Is Gold na Gusa Gusa Min band ndani ya Hugo House Kinondoni Jumapili hii
![11231914_1144808635544922_2269725808570836614_o](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/11231914_1144808635544922_2269725808570836614_o-e1431778746302.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Ule usiku wa Old is Gold Taarab na Bendi yenye ubora katika muziki wa mwambao ya GUSA GUSA Min Band, Jumapili hii ya Mei 17 na Jumapili nyingine kila wiki watatoa burudani ya nguvu na ya aina yake kwenye ‘kiota’ kipya ndani ya Hugo House, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Shoo hiyo inatarajia kuanza kuanzia majira ya saa mbili usiku na kuendelea, ni ya aina yake kwa wadau na wapenzi wa taarab...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s72-c/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s1600/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
BENDI ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima tena Jumapili hii katika usiku wa Old is Gold Taarab , ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa imekuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa huku ikikusanya mashabiki lukuki.
Aidha, alisema muimbaji...
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili ya leo
.. Njoo tufurahie pamoja kusherekea siku ya Mama Duniani (Mother’s Day)
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Bendi ya taarab ya ‘Gusa Gusa Min Band,’ itatoa burudani ya aina yake Jumapili ya Machi 15 katika usiku wa Old is Gold Taarab pamoja na kusherehekea siku ya Mama Duniani (Mother’s Day) ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, alibainisha kuwa, bendi hiyo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival kila Jumapili
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Na Andrew ChaleBendi ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima kila Jumapili katika usiku wa Old is Gold Taarab ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa itakuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa."Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa mwambao ...
10 years ago
Vijimambo07 Jan
GUSA GUSA MIN BAND NDANI YA OLD IS GOLD SAFARI CARNIVAL KILA JUMAPILI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-l0gGvPJyv28%2FVKzlMLQ-uwI%2FAAAAAAADVC0%2FWWWW3uMh0as%2Fs1600%2F10899706_771168609629953_1343823646_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Andrew ChaleBendi ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima kila Jumapili katika usiku wa Old is Gold Taarab ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa itakuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za...
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Asya Idarous, Gusagusa Min Band ndani ya Uingereza kufanya maonyesho Mei 2 na 3
Bana ya shoo hiyo ya Gusagusa Min band na Asia Idarous Khamsin itakayofanyika nchini Uingereza
London, Uingereza
Mbunifu wa mavazi nchini ‘Mama wa Mitindo’, Asia Idarous Khamsin yupo nchini Uingereza akiwa ameambatana na magwiji wa muziki wa taarab kutoka Tanzania, Gusagusa Min Band ambao watafanya maonyesho makubwa ndani ya miji ya nchi hiyo ikiwemo London na Northampton.
Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo nchini humo, Kampuni ya Didas Entertainment ya Uingereza walieleza kuwa, shoo ya...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Usiku wa Old is Gold Taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival
Na Andrew Chale
USIKU wa Old is Gold taarab unatarajiwa kurindima ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, kwa wadau kupata burudani ya muziki wa mwambao wa kizamani.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza kuwa ni kila Jumapili ndani ya ukumbi huo utakuwa na burudani ya kipekee kwa nyimbo za mwambao pamoja na ‘surprise’ mbalimbali kwa watakaofika hapo.
“Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Usiku wa Old is Gold taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival, Kawe.Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village - Spice Modern Taarab kuendeleza makali Jumapili hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
NA ANDREW CHALEUSIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya kesho Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo kabambe kutoka kwa...