Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village - Spice Modern Taarab kuendeleza makali Jumapili hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
NA ANDREW CHALEUSIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya kesho Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo kabambe kutoka kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village — Spice Modern Taarab kuendeleza makali leo
Na Andrew Chale
USIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya leo Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin (pichani juu), mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.
“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S_WMcEMRlZo/VJ8UOJghQ3I/AAAAAAAG6EM/kXwgGVUIewI/s72-c/download.jpg)
Usiku wa Old is Gold warejea Safari Carnival, Spice Modern Taarab kuendeleza makali
![](http://4.bp.blogspot.com/-S_WMcEMRlZo/VJ8UOJghQ3I/AAAAAAAG6EM/kXwgGVUIewI/s1600/download.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s72-c/unnamed+(19).jpg)
OLD IS GOLD NA SPICE MODERN TAARAB KUFUNIKA NDANI YA SAFARI CARNIVAL LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s1600/unnamed+(19).jpg)
Kwa kiingilio cha sh 5000 tu, kuanzia saa mbili usiku mpaka majogoo.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, ambao ni miongoni mwa wadhamini wa onyesho hilo, amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi kuuenzi usiku huo kwa...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Usiku wa Old is Gold Taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival
Na Andrew Chale
USIKU wa Old is Gold taarab unatarajiwa kurindima ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, kwa wadau kupata burudani ya muziki wa mwambao wa kizamani.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza kuwa ni kila Jumapili ndani ya ukumbi huo utakuwa na burudani ya kipekee kwa nyimbo za mwambao pamoja na ‘surprise’ mbalimbali kwa watakaofika hapo.
“Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Usiku wa Old is Gold taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival, Kawe.Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
‘Old is Gold,’ Spice Taarab kuifunika Regency leo
WAPENZI wa nyimbo za zamani za taarabu asilia nchini, leo wanatarajiwa kupata burudani safi na ya aina yake kutoka kundi la Spice Modern Taarab, ndani ya ukumbi wa Regency Hotel,...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Skylight Band inakukaribisha leo Thai Village kabla ya kuelekea jijini Arusha Jumapili hii
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 (kulia)
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(katikati) akiimba na wenzake ambao ni Sam Mapenzi(kulia) pamoja na Ashura Kitenge (kushoto)
Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kubwa mbele ya mashabiki wake (hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s72-c/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s1600/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
BENDI ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima tena Jumapili hii katika usiku wa Old is Gold Taarab , ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa imekuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa huku ikikusanya mashabiki lukuki.
Aidha, alisema muimbaji...
11 years ago
GPLSUPER MODERN BAND YAPAGAWISHA NDANI YA SPICE PUB MJINI DODOMA USIKU HUU