SUPER MODERN BAND YAPAGAWISHA NDANI YA SPICE PUB MJINI DODOMA USIKU HUU
Baadhi ya waimbaji wa bendi ya Super Modern wakiwaburudisha mashabiki ndani ya Spice Pub iliyopo Area C mjini Dodoma usiku huu. Msanii mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo, Ahmed Olotu 'Mzee Chilo' (wa kwanza kushoto) akifuatilia burudani iliyokuwa ikiporomoswa na bendi ya Super Modern.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cMo845SLBX1475-wPlxSFaRn1dzsydvxwY9SgDwx0L7OTzXa2mDMM0DXLQGPmUETJq323Zdhv9C55wn5E1oHSy4D9lDsSJbj/MBEYA.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S_WMcEMRlZo/VJ8UOJghQ3I/AAAAAAAG6EM/kXwgGVUIewI/s72-c/download.jpg)
Usiku wa Old is Gold warejea Safari Carnival, Spice Modern Taarab kuendeleza makali
![](http://4.bp.blogspot.com/-S_WMcEMRlZo/VJ8UOJghQ3I/AAAAAAAG6EM/kXwgGVUIewI/s1600/download.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village — Spice Modern Taarab kuendeleza makali leo
Na Andrew Chale
USIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya leo Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin (pichani juu), mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.
“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village - Spice Modern Taarab kuendeleza makali Jumapili hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
NA ANDREW CHALEUSIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya kesho Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo kabambe kutoka kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s72-c/unnamed+(19).jpg)
OLD IS GOLD NA SPICE MODERN TAARAB KUFUNIKA NDANI YA SAFARI CARNIVAL LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s1600/unnamed+(19).jpg)
Kwa kiingilio cha sh 5000 tu, kuanzia saa mbili usiku mpaka majogoo.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, ambao ni miongoni mwa wadhamini wa onyesho hilo, amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi kuuenzi usiku huo kwa...
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAKIWASHA MOTO KATIKA UZINDUZI WA YAMOTO BAND NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU
10 years ago
Michuzi07 Apr
YAMOTO BAND WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM BUKOBA TAYARI KWA SHOW YAO USIKU HUU NDANI YA LINA'S CLUB
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XHl5qMBfaD0/VaF6SzG9OvI/AAAAAAAHo4A/yN1VowxD-4g/s72-c/MMGL1590.jpg)
TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHl5qMBfaD0/VaF6SzG9OvI/AAAAAAAHo4A/yN1VowxD-4g/s640/MMGL1590.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1Cw9cuSkZ-E/VaF6d5Ch68I/AAAAAAAHo4c/ydL1hK1-Luw/s640/MMGL1515.jpg)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-coQzfs7KyGs/VNVGJndgCwI/AAAAAAAHCTI/fF5otMJy2YY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Timu za bunge zapongezwa katika tafrija ya kuukaribisha mwaka mpya usiku huu mjini dodoma