‘Old is Gold,’ Spice Taarab kuifunika Regency leo
WAPENZI wa nyimbo za zamani za taarabu asilia nchini, leo wanatarajiwa kupata burudani safi na ya aina yake kutoka kundi la Spice Modern Taarab, ndani ya ukumbi wa Regency Hotel,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s72-c/unnamed+(19).jpg)
OLD IS GOLD NA SPICE MODERN TAARAB KUFUNIKA NDANI YA SAFARI CARNIVAL LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s1600/unnamed+(19).jpg)
Kwa kiingilio cha sh 5000 tu, kuanzia saa mbili usiku mpaka majogoo.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, ambao ni miongoni mwa wadhamini wa onyesho hilo, amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi kuuenzi usiku huo kwa...
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village — Spice Modern Taarab kuendeleza makali leo
Na Andrew Chale
USIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya leo Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin (pichani juu), mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.
“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S_WMcEMRlZo/VJ8UOJghQ3I/AAAAAAAG6EM/kXwgGVUIewI/s72-c/download.jpg)
Usiku wa Old is Gold warejea Safari Carnival, Spice Modern Taarab kuendeleza makali
![](http://4.bp.blogspot.com/-S_WMcEMRlZo/VJ8UOJghQ3I/AAAAAAAG6EM/kXwgGVUIewI/s1600/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village - Spice Modern Taarab kuendeleza makali Jumapili hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
NA ANDREW CHALEUSIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya kesho Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo kabambe kutoka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G9Nz0opfqao/VF90OGj2v7I/AAAAAAAGwM4/gG5tEX06Ppo/s72-c/10174969_861335707234027_3765183370628734080_n.jpg)
Old is gold Taarab leo na kila Jumapili Safari Carnival, Kawe Darajani, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9Nz0opfqao/VF90OGj2v7I/AAAAAAAGwM4/gG5tEX06Ppo/s1600/10174969_861335707234027_3765183370628734080_n.jpg)
Mama wa Mitindo Asya Idarous-Khamsin anakwambia Old is gold Taarab ni Leo jumapili Na jumapili zote at Safari Carnival Kawe Darajani Dar es salaam kuanzia saa 2 usiku kwa kiingilio cha 5,000 shs Tu Njoo ukutane Na nyimbo tamu KamaKashaMapenzi yako matamuKanilemazaNimesalitikaHakika nnakupenda Umetoka kwangu kwa unrisiUmbo langu dawa Na nyinginezo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OaH7_7KYUWw/VSqJvtwbPgI/AAAAAAADiX0/mGQguVMJ94s/s72-c/a4387baa045bd87cce77141012f991ec.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Usiku wa Old is Gold Taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival
Na Andrew Chale
USIKU wa Old is Gold taarab unatarajiwa kurindima ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, kwa wadau kupata burudani ya muziki wa mwambao wa kizamani.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza kuwa ni kila Jumapili ndani ya ukumbi huo utakuwa na burudani ya kipekee kwa nyimbo za mwambao pamoja na ‘surprise’ mbalimbali kwa watakaofika hapo.
“Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JLsFMvTplw4/VKMC2_IEPCI/AAAAAAAG6oI/nndlML0MheQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
OLD IS GOLD TAARAB KUFANYIKA MKESHA WA MWAKA MPYA NDANI YA SAFARI CARNIVAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-JLsFMvTplw4/VKMC2_IEPCI/AAAAAAAG6oI/nndlML0MheQ/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
SAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya 'Old Is Gold taarab', Ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza shoo hiyo maalum wadau
mbalimbali watakutana kuupokea mwaka kwa pamoja huku wakipata burudani ya muziki wa taarab wa zamani 'Old is Gold' pamoja na 'Surprise' kibao.
"Kwa kiingilio cha...
10 years ago
Dewji Blog31 Dec
Wadau kuusubiri mwaka mpya na Old Is Gold taarab ndani ya Safari Carnival, Kawe
Na Andrew Chale
SAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya ‘Old Is Gold taarab’, Ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza shoo hiyo maalum wadau mbalimbali watakutana kuupokea mwaka kwa pamoja huku wakipata burudani ya muziki wa taarab wa zamani ‘Old is Gold’ pamoja na ‘Surprise’ kibao.
“Kwa...