Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OLD IS GOLD TAARAB


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Old is Gold,’ Spice Taarab kuifunika Regency leo

WAPENZI wa nyimbo za zamani za taarabu asilia nchini, leo wanatarajiwa kupata burudani safi na ya aina yake  kutoka kundi la Spice Modern Taarab,  ndani ya ukumbi wa  Regency Hotel,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Usiku wa Old is Gold Taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival

Na Andrew Chale

USIKU wa Old is Gold taarab  unatarajiwa kurindima ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, kwa wadau kupata burudani ya muziki wa mwambao wa kizamani.

Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin  alieleza kuwa  ni kila Jumapili  ndani ya ukumbi huo utakuwa na burudani ya kipekee kwa nyimbo za mwambao pamoja na ‘surprise’ mbalimbali kwa watakaofika hapo.

“Kila jumapili  kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa...

 

11 years ago

Michuzi

OLD IS GOLD NA SPICE MODERN TAARAB KUFUNIKA NDANI YA SAFARI CARNIVAL LEO

WAPENZI wa nyimbo za zamani za taarabu asilia nchini, leo wanatarajiwa kupata burudani safi na ya aina yake  kutoka kundi la Spice Modern Taarab,  ndani ya ukumbi wa  Safari Carnival uliopo Kawe, (opposite) na Clouds fm katika gate la kuingilia Escape 1.
Kwa kiingilio cha sh 5000 tu, kuanzia saa mbili usiku mpaka majogoo.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, ambao ni miongoni mwa wadhamini wa onyesho hilo, amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi kuuenzi usiku huo kwa...

 

10 years ago

Michuzi

OLD IS GOLD TAARAB KUFANYIKA MKESHA WA MWAKA MPYA NDANI YA SAFARI CARNIVAL

Na Andrew Chale
SAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya 'Old Is Gold taarab', Ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza shoo hiyo maalum wadau
mbalimbali watakutana kuupokea mwaka kwa pamoja huku wakipata burudani ya muziki wa taarab wa zamani 'Old is Gold' pamoja na 'Surprise' kibao.
"Kwa kiingilio cha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau kuusubiri mwaka mpya na Old Is Gold taarab ndani ya Safari Carnival, Kawe

10862708_1050205801671873_4435969063454828412_o

Na Andrew Chale

SAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya ‘Old Is Gold taarab’, Ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Kawe jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza shoo hiyo maalum wadau mbalimbali watakutana kuupokea mwaka kwa pamoja huku wakipata burudani ya muziki wa taarab wa zamani ‘Old is Gold’ pamoja na ‘Surprise’ kibao.

“Kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Usiku wa Old is Gold warejea Safari Carnival, Spice Modern Taarab kuendeleza makali

Na Andrew Chale USIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima  usiku wa Desemba 28, Mwaka huu ndani ya   ukumbi wa Safari Carnival uliopo Mikocheni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo,  mashabiki  wa Old Is Gold watapata burudani ya aina yake katika kiota hicho cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.

“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo kabambe kutoka kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Old is gold Taarab leo na kila Jumapili Safari Carnival, Kawe Darajani, Dar es salaam


Mama wa Mitindo Asya Idarous-Khamsin anakwambia Old is gold Taarab ni Leo jumapili Na jumapili zote at Safari Carnival Kawe Darajani Dar es salaam kuanzia saa 2 usiku kwa kiingilio cha 5,000 shs Tu Njoo ukutane Na nyimbo tamu KamaKashaMapenzi yako matamuKanilemazaNimesalitikaHakika nnakupenda Umetoka kwangu kwa unrisiUmbo langu dawa Na nyinginezo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village — Spice Modern Taarab kuendeleza makali leo

unnamed (36)

unnamed (35)

Na Andrew Chale

USIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya leo Desemba 7, ndani ya   ukumbi wa Thai Village  uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin (pichani juu), mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki  wa Old Is Gold  watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.

“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo...

 

10 years ago

Michuzi

Usiku wa Old is Gold taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival, Kawe.Dar es salaam

Na Andrew ChaleUSIKU wa Old is Gold taarab  unatarajiwa kurindima ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, kwa wadau kupata burudani ya muziki wa mwambao wa kizamani.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza kuwa  ni kila Jumapili  ndani ya ukumbi huo utakuwa na burudani ya kipekee kwa nyimbo za mwambao pamoja na ‘surprise’ mbalimbali kwa watakaofika hapo.“Kila jumapili  kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani