Old is gold Taarab leo na kila Jumapili Safari Carnival, Kawe Darajani, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9Nz0opfqao/VF90OGj2v7I/AAAAAAAGwM4/gG5tEX06Ppo/s72-c/10174969_861335707234027_3765183370628734080_n.jpg)
Mama wa Mitindo Asya Idarous-Khamsin anakwambia Old is gold Taarab ni Leo jumapili Na jumapili zote at Safari Carnival Kawe Darajani Dar es salaam kuanzia saa 2 usiku kwa kiingilio cha 5,000 shs Tu Njoo ukutane Na nyimbo tamu KamaKashaMapenzi yako matamuKanilemazaNimesalitikaHakika nnakupenda Umetoka kwangu kwa unrisiUmbo langu dawa Na nyinginezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Usiku wa Old is Gold taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival, Kawe.Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Usiku wa Old is Gold Taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival
Na Andrew Chale
USIKU wa Old is Gold taarab unatarajiwa kurindima ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, kwa wadau kupata burudani ya muziki wa mwambao wa kizamani.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza kuwa ni kila Jumapili ndani ya ukumbi huo utakuwa na burudani ya kipekee kwa nyimbo za mwambao pamoja na ‘surprise’ mbalimbali kwa watakaofika hapo.
“Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa...
10 years ago
Dewji Blog31 Dec
Wadau kuusubiri mwaka mpya na Old Is Gold taarab ndani ya Safari Carnival, Kawe
Na Andrew Chale
SAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya ‘Old Is Gold taarab’, Ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza shoo hiyo maalum wadau mbalimbali watakutana kuupokea mwaka kwa pamoja huku wakipata burudani ya muziki wa taarab wa zamani ‘Old is Gold’ pamoja na ‘Surprise’ kibao.
“Kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4bK3P3PRhiY/VKfyz7TRvKI/AAAAAAADUL0/SJkEaM89Po4/s72-c/old%2Bis%2BGold.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s72-c/unnamed+(19).jpg)
OLD IS GOLD NA SPICE MODERN TAARAB KUFUNIKA NDANI YA SAFARI CARNIVAL LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s1600/unnamed+(19).jpg)
Kwa kiingilio cha sh 5000 tu, kuanzia saa mbili usiku mpaka majogoo.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, ambao ni miongoni mwa wadhamini wa onyesho hilo, amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi kuuenzi usiku huo kwa...
10 years ago
Vijimambo07 Jan
GUSA GUSA MIN BAND NDANI YA OLD IS GOLD SAFARI CARNIVAL KILA JUMAPILI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-l0gGvPJyv28%2FVKzlMLQ-uwI%2FAAAAAAADVC0%2FWWWW3uMh0as%2Fs1600%2F10899706_771168609629953_1343823646_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Andrew ChaleBendi ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima kila Jumapili katika usiku wa Old is Gold Taarab ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa itakuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival kila Jumapili
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Na Andrew ChaleBendi ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima kila Jumapili katika usiku wa Old is Gold Taarab ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa itakuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa."Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa mwambao ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XrfPS02Wyko/VG1et9cZV9I/AAAAAAAGyUw/iKhInmG8pbc/s72-c/kanga.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JLsFMvTplw4/VKMC2_IEPCI/AAAAAAAG6oI/nndlML0MheQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
OLD IS GOLD TAARAB KUFANYIKA MKESHA WA MWAKA MPYA NDANI YA SAFARI CARNIVAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-JLsFMvTplw4/VKMC2_IEPCI/AAAAAAAG6oI/nndlML0MheQ/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
SAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya 'Old Is Gold taarab', Ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza shoo hiyo maalum wadau
mbalimbali watakutana kuupokea mwaka kwa pamoja huku wakipata burudani ya muziki wa taarab wa zamani 'Old is Gold' pamoja na 'Surprise' kibao.
"Kwa kiingilio cha...