BOSI WA KIIZA AWAJIA JUU YANGA SC
![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMkLdX*ySSpUgPpXxOylRCWqS0w4ZekCKcxBy*GHaFpVKt-eqcnUsYzTAlzan8ionvKrLUhGTuU5swN6vjDC6iKz/22.jpg?width=650)
Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza 'Diego '. Nicodemus Jonas KOCHA wa zamani wa timu ya Taifa ya Uganda, ‘The Cranes’, Jackson Mayanja, amewajia juu wanachama na mashabiki wa Yanga wanaoendelea kumtupia lawama mshambuliaji wao, Hamisi Kiiza kwa kitendo cha kukosa mkwaju wa penalti kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, juzi Jumatano.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Nov
RC Moro awajia juu watendaji
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe amesema atawachukulia hatua za kinidhamu watendaji wa halmashauri za wilaya za mkoa huo ambao watakuwa wameshindwa kutekeleza agizo lake la ujenzi wa vyoo kulingana na uwiano wa matumizi ya wanafunzi wasichana na wavulana katika shule za msingi na sekondari.
10 years ago
Habarileo26 Nov
Nape awajia juu wanaoshabikia Ukawa
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema watanzania wachache wanaoendelea kuwaunga mkono wanaharakati wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wanapoteza muda wao.
10 years ago
Habarileo30 Dec
Mwakyembe awajia juu wakandarasi wawili
SERIKALI imewataka wakandarasi wenye zabuni ya ujenzi wa bandari mbili tofauti katika Visiwa vya Ntama na Lushamba, wilayani Sengerema mkoani Mwanza kukamilisha kazi kwa wakati uliopangwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW54xJfrdfDbinZwm2b96DgzcpADSY6IADlg1U223uvW97xd1gR9nypCPGnLcELYFxLBgNpM3-z-ymEtkR-9Epn5/BATULI.jpg?width=650)
BATULI AWAJIA JUU MASTAA WANAOWAHARIBIA
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Jaji Bomani awajia juu mawakili wa serikali
MAWAKILI na wanasheria wa serikali ni wababaishaji wanaolipua kazi jambo linalosababisha serikali kushindwa kesi nyingi. Kwamba licha ya maandalizi mabovu, lipo suala la ubinadamu ambapo jaji au hakimu anaweza kuwa...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
UFISADI: Magufuli awajia juu maofisa Tanroads
9 years ago
Habarileo14 Oct
Kikwete awajia juu viongozi wanaoangusha michezo
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa viongozi wengi wa michezo hawana mpango wa kuendelea michezo na badala yake wako katika nafasi hizo kwa ajili ya kusaka sifa zao binafsi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYnoISGJbYiKvdo5*grtT05k88oJLOU3wmp7k6osOFUqyNvK3wnr89H8R3D*UJQktO-RqWk0fxme86vHAwQ2XQ3e/mwanzo.jpg?width=650)
AUNTY LULU AWAJIA JUU MAWIFI ZAKE
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Maradona awajia juu Fifa