Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete awajia juu viongozi wanaoangusha michezo

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa viongozi wengi wa michezo hawana mpango wa kuendelea michezo na badala yake wako katika nafasi hizo kwa ajili ya kusaka sifa zao binafsi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Katibu CCM Ikungi awajia juu viongozi wa Upinzani, awataka kuzingatia misingi ya utawala

DSC04879

.Katibu CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Aluu Segamba, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya tuhuma mbalimbali wanazowatuhumu wabunge wa wawili wa CHADEMA mkoani hapo. Moja ya tuhuma ni ile ya kutukana viongozi wa CCM taifa, mkuu wa wilaya na CCM yenyewe. DSC04869 Mkuu mpya wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida ,Gishuli Charles, ameahidi kuzifanyika kazi tuhuma zilizotolewa na CCM dhidi ya wabunge Tundu Lissu na Christowaja Mtinda wote wa CHADEMA. DSC04849 Baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA MKOA MWANZA AWAJIA JUU VIONGOZI WA JIJI, ATAKA MACHINGA WAPEWE MAENEO YA BIASHARA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiongea na Machinga leo jijini Mwanza.…

 

9 years ago

Habarileo

RC Moro awajia juu watendaji

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe amesema atawachukulia hatua za kinidhamu watendaji wa halmashauri za wilaya za mkoa huo ambao watakuwa wameshindwa kutekeleza agizo lake la ujenzi wa vyoo kulingana na uwiano wa matumizi ya wanafunzi wasichana na wavulana katika shule za msingi na sekondari.

 

11 years ago

GPL

BATULI AWAJIA JUU MASTAA WANAOWAHARIBIA

Stori: Shani Ramadhani MSANII wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph  ‘Batuli’ amesema tabia mbaya za baadhi ya wasanii wenzao ndizo zinazowaharibia na kuwafanya wote waonekane hawana maadili. Msanii wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph  ‘Batuli’. Akiteta na safu hii, Batuli alisema amekuwa akipata malalamiko kuwa hawatumii katika filamu zake watoto Jenifer na Jamila waliokuwa wakifanya kazi na...

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe awajia juu wakandarasi wawili

Dk Harison MwakyembeSERIKALI imewataka wakandarasi wenye zabuni ya ujenzi wa bandari mbili tofauti katika Visiwa vya Ntama na Lushamba, wilayani Sengerema mkoani Mwanza kukamilisha kazi kwa wakati uliopangwa.

 

10 years ago

Habarileo

Nape awajia juu wanaoshabikia Ukawa

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema watanzania wachache wanaoendelea kuwaunga mkono wanaharakati wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wanapoteza muda wao.

 

11 years ago

GPL

BOSI WA KIIZA AWAJIA JUU YANGA SC

Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza 'Diego '. Nicodemus Jonas
KOCHA wa zamani wa timu ya Taifa ya Uganda, ‘The Cranes’, Jackson Mayanja, amewajia juu wanachama na mashabiki wa Yanga wanaoendelea kumtupia lawama mshambuliaji wao, Hamisi Kiiza kwa kitendo cha kukosa mkwaju wa penalti kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, juzi Jumatano.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Maradona awajia juu Fifa

>Diego Maradona ameibwatukia Fifa (Shirikisho la Soka la Kimataifa Duniani), baada ya wachezaji saba wa Costa Rica kutakiwa kupimwa damu kama wanatumia dawa za kulevya kutokana na ushindi wao wa kushtukiza dhidi ya Italia.

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU AWAJIA JUU MAWIFI ZAKE

Na Hamida Hassan
MWANADADA Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amewajia juu mawifi zake ambao wamekuwa wakimtaka aachane na mpenzi wake wa sasa Mwanadada Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. aitwaye Amani kwa maelezo kuwa hawamtaki na yeye amekuwa aking’ang’ania penzi.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aunty Lulu alisema anawashangaa mawifi zake hao wanaoshadadia amuache mpenzi wake wakati hawajui...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani