Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Bomani awajia juu mawakili wa serikali

MAWAKILI na wanasheria wa serikali ni wababaishaji wanaolipua kazi jambo linalosababisha serikali kushindwa kesi nyingi. Kwamba licha ya maandalizi mabovu, lipo suala la ubinadamu ambapo jaji au hakimu anaweza kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mark Bomani atetea Serikali tatu

Jaji mstaafu, Mark Bomani, ametetea kuwepo kwa muundo wa Serikali tatu na kuwabeza wanaodai kuwa ni wa gharama kubwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Jaji Bomani: Serikali imalizie mchakato wa Katiba Mpya

Mwanasheria Mkuu mstaafu, Jaji Mark Bomani ametaka Serikali kuendeleza mchakato wa kupata Katiba Mpya ulioanzishwa na Rais Jakaya Kikwete mwaka 2012.

 

9 years ago

Habarileo

RC Moro awajia juu watendaji

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe amesema atawachukulia hatua za kinidhamu watendaji wa halmashauri za wilaya za mkoa huo ambao watakuwa wameshindwa kutekeleza agizo lake la ujenzi wa vyoo kulingana na uwiano wa matumizi ya wanafunzi wasichana na wavulana katika shule za msingi na sekondari.

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe awajia juu wakandarasi wawili

Dk Harison MwakyembeSERIKALI imewataka wakandarasi wenye zabuni ya ujenzi wa bandari mbili tofauti katika Visiwa vya Ntama na Lushamba, wilayani Sengerema mkoani Mwanza kukamilisha kazi kwa wakati uliopangwa.

 

10 years ago

Habarileo

Nape awajia juu wanaoshabikia Ukawa

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema watanzania wachache wanaoendelea kuwaunga mkono wanaharakati wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wanapoteza muda wao.

 

11 years ago

GPL

BOSI WA KIIZA AWAJIA JUU YANGA SC

Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza 'Diego '. Nicodemus Jonas
KOCHA wa zamani wa timu ya Taifa ya Uganda, ‘The Cranes’, Jackson Mayanja, amewajia juu wanachama na mashabiki wa Yanga wanaoendelea kumtupia lawama mshambuliaji wao, Hamisi Kiiza kwa kitendo cha kukosa mkwaju wa penalti kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, juzi Jumatano.… ...

 

11 years ago

GPL

BATULI AWAJIA JUU MASTAA WANAOWAHARIBIA

Stori: Shani Ramadhani MSANII wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph  ‘Batuli’ amesema tabia mbaya za baadhi ya wasanii wenzao ndizo zinazowaharibia na kuwafanya wote waonekane hawana maadili. Msanii wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph  ‘Batuli’. Akiteta na safu hii, Batuli alisema amekuwa akipata malalamiko kuwa hawatumii katika filamu zake watoto Jenifer na Jamila waliokuwa wakifanya kazi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Bomani asipuuzwe

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani, amesema kuwa Tanzania kwa sasa haitaweza kupata katiba mpya huku akionya kwamba amani ya nchi itavunjika iwapo jambo hilo litalazimishwa. Kwa maono...

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU AWAJIA JUU MAWIFI ZAKE

Na Hamida Hassan
MWANADADA Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amewajia juu mawifi zake ambao wamekuwa wakimtaka aachane na mpenzi wake wa sasa Mwanadada Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. aitwaye Amani kwa maelezo kuwa hawamtaki na yeye amekuwa aking’ang’ania penzi.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aunty Lulu alisema anawashangaa mawifi zake hao wanaoshadadia amuache mpenzi wake wakati hawajui...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani