Penalti ya Ajibu yamliza Okwi
![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhe4AkdkGCX53jdqM4CtH3t-yxLRAg-95d*KqUMN1YQPTQTTxIOf5OojjuGID4hWi8WthN-MjqHYj0ZddmrTRHc-/19.jpg?width=650)
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Nassor Gallu, Dar es Salaam KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameweka wazi kuwa alitaka kupiga penalti ambayo Ibrahim Ajibu alipiga na kukosa juzi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Katika mchezo huo ulioisha kwa Simba kushinda mabao 3-0, Simba walipoteza penalti katika dakika ya 12 baada ya Ajibu kuupaisha mpira juu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzloyxDzpHILebFLQrjjKCYz5nPz0Cw6EvebdIQqACAu6JGeiSAwYoVRpbhd20IRNznldZf453pgjzR1MKXoTzVB/JAB.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA JESHINI YAMLIZA JB
10 years ago
Mtanzania10 Feb
‘Sijazoea’ yamliza mke wa AT
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa muziki wa mduara, Ally Ramadhani ‘AT’, amesema ameshangazwa kwa mara ya kwanza kumuona mkewe akitoa macho baada ya kusikia wimbo wake mpya wa ‘Sijazoea’.
Akizungumza na MTANZANIA jana, AT alisema, mkewe amekuwa hana kawaida ya kusikiliza nyimbo zake, lakini ameshangazwa kumuona akiusikiliza wimbo huo na kulia.
“Kitendo hicho kimenifurahisha sana na nimejiona nimefanya kazi nzuri, mke wangu yupo tofauti, hapendi na wala hatakagi kusikiliza kazi...
11 years ago
BBCSwahili06 May
Sare ya 3-3 yamliza Luis Suarez
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRgFndkAowTFxpJVDy55TNN4c9C-CQwH1XEzXRLmMu1vxQ2GJZI58ZVhstSu3JwzM5x3bLKBp7YcKILpEskg4Aa/madaha.jpg?width=650)
NJAA YAMLIZA BABY MADAHA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/WOLPER-11.jpg)
PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Mapokezi yamliza Lembeli Kahama
10 years ago
Habarileo04 Mar
Mazishi ya Komba yamliza Kikwete
Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Bendera ya ANC yamliza Graca
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnJ5hr8ssiATHm4NvYM2tYQEJgSs4CclIJLh7um2rOP3YSsj6ngt8B6RiKvYRxbwluoZzHClBFSPK*q2rPw2dY07/majeruhi.jpg?width=650)
Majeruhi yamliza Loga, apata hofu