Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Penalti ya Ajibu yamliza Okwi

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Nassor Gallu,
Dar es Salaam
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameweka wazi kuwa alitaka kupiga penalti ambayo Ibrahim Ajibu alipiga na kukosa juzi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Katika mchezo huo ulioisha kwa Simba kushinda mabao 3-0, Simba walipoteza penalti katika dakika ya 12 baada ya Ajibu kuupaisha mpira juu ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA JESHINI YAMLIZA JB

Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea kusimulia historia ya maisha yake tangu utotoni hadi sasa. Ni simulizi ndefu na tamu isiyochosha kwa vimbwanga na kila aina ya mikasa ya kusisimua na kustaajabisha. Uhondo huu una takriban wiki tatu sasa, na amefikia kwenye kipengele cha maisha yake jeshini ambapo alieleza sulubu ya mikikimikiki ya jeshini huku akikiri kwamba jeshi...

 

10 years ago

Mtanzania

‘Sijazoea’ yamliza mke wa AT

ATNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MWIMBAJI wa muziki wa mduara, Ally Ramadhani ‘AT’, amesema ameshangazwa kwa mara ya kwanza kumuona mkewe akitoa macho baada ya kusikia wimbo wake mpya wa ‘Sijazoea’.

Akizungumza na MTANZANIA jana, AT alisema, mkewe amekuwa hana kawaida ya kusikiliza nyimbo zake, lakini ameshangazwa kumuona akiusikiliza wimbo huo na kulia.

“Kitendo hicho kimenifurahisha sana na nimejiona nimefanya kazi nzuri, mke wangu yupo tofauti, hapendi na wala hatakagi kusikiliza kazi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sare ya 3-3 yamliza Luis Suarez

Matokeo ya mechi kati ya Liverpool na Crystal.P yamliza Luis Suarez akiona kombe likiwakwepa

 

11 years ago

GPL

NJAA YAMLIZA BABY MADAHA

Na Rhoda Josiah STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umembana kiuchumi kwani kumbi nyingi za starehe zimefungwa kwa hiyo anashindwa kupata pesa. Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ Akipiga stori mbili tatu baada ya kuvutiwa waya na mwandishi wa gazeti hili, Baby Madaha alisema kwa upande wake michongo yake...

 

9 years ago

GPL

PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER

Staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ na mchumba wake. Stori: Mwandishi wetu STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ amejikuta akitoa machozi ya furaha baada ya kuvalishwa pete ya uchumba na kijana anayedaiwa kuwa ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). ....Wakifurahia kwa pamoja. Wolper ameitundika picha yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram, akiwa na kijana huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mapokezi yamliza Lembeli Kahama

Mbunge wa Kahama, James Lembeli, ambaye hivi karibuni alitangaza kuihama CCM na kujiunga na Chadema, kwa mara ya kwanza amepokewa na umati mkubwa mjini Kahama hali iliyomfanya aangue kilio akiwa jukwaani.

 

10 years ago

Habarileo

Mazishi ya Komba yamliza Kikwete

Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga, Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa mkoani Ruvuma jana. (Picha na Freddy Maro).Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Bendera ya ANC yamliza Graca

Jana asubuhi ulikuwa ni wakati wa familia ya Rais wa Kwaza Mzalendo wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela walipokutanishwa katika hafla ya kusema buriani kwa kiongozi huyo, iliyoandaliwa na chama tawala cha African National Congress (ANC).

 

11 years ago

GPL

Majeruhi yamliza Loga, apata hofu

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Khadija Mngwai
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amefunguka kuwa, anahofia kikosi chake kupata majeruhi katika kipindi hiki cha lala salama kwani watamharibia mipango yake. Simba ipo nafasi ya nne ya msimamo wa ligi kuu kufuatia kuwa na pointi 30, nyuma ya Mbeya City yenye pointi 31, ambapo inahitaji kujipanga ili iweze kufanikiwa kusonga mbele. Akizungumza na Championi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani