NJAA YAMLIZA BABY MADAHA
![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRgFndkAowTFxpJVDy55TNN4c9C-CQwH1XEzXRLmMu1vxQ2GJZI58ZVhstSu3JwzM5x3bLKBp7YcKILpEskg4Aa/madaha.jpg?width=650)
Na Rhoda Josiah STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umembana kiuchumi kwani kumbi nyingi za starehe zimefungwa kwa hiyo anashindwa kupata pesa. Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ Akipiga stori mbili tatu baada ya kuvutiwa waya na mwandishi wa gazeti hili, Baby Madaha alisema kwa upande wake michongo yake...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I7ZlFg1qyxYmxm997bDtMCrfjr**5A8IjAerXx*xDFx9X7avQ-yCqomGic-nbEYiblsZ3UEwMyLKhkKCTnAzrV/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QfDS7z72QT0FfVBe7jmds2qNwCFvrMcclbw*ReRFdb0uxCJYQiOlq2ubuaIqxnilcFB8TG7FwjugqUuT3xt5xck/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA: NIMEUMBUKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAkpYW*qkqn1yJYTcBx7y*Csoh8CsJJeO1ywdjtipA4496P3FY0DN2VNgHebGVNDrZVLC47Q3mvnvDfA9tQJX4m/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA AUMBUKA
11 years ago
Michuzi11 Feb
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQigZ5dtC2zv*jBdz62H*dPkJdhMg0ErLBY95DxxTM9XktfpsiXqp9JFRWfcfee91f8ARuErGpiw5nFmToRPSUDt/madaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA CHUPUCHUPU KUBAKWA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpge2cnGfgcNkLs3NEJAHFPvZHmPHen-wuS*TSSDFF0Y-2gfWKrmwmx26EVex*CGz1Kpeazz*6EU6nLha5riK6x/timthumb.jpg?width=650)
BABY MADAHA AREJEA NA MBWEMBWE
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Baby Madaha atamani mtoto
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha, amesema anatamani kuitwa mama kama ilivyo kwa wanawake wengine wenye watoto. Akizungumza na MTANZANIA jana, Baby Madaha, alisema amepanga kufanikisha ndoto zake za kuwa mama mwaka huu. “Kiukweli natamani sana kupata mtoto, nafarijika nikisikia na kuona wenzangu wanaitwa mama, ni jambo la busara na kumuomba Mungu ili litimie,” alisema Baby Madaha. Madaha alisema wasanii wengi wamefululiza kuzaa jambo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbKJNsGAGd016Xkt4CMWc5MNLcPyr-qYck*WVp7F6R4DT5O6mpqs-01F9BCbDwsluSWXr*3Oso49CIpNG8EKkpCl/1babymadaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA ANASWA AKIJIPODOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL3yNSeD2NwBq05bOGaPe0lYXsZ7AHyveerDNhvVrK0Rpg9o9oCEOBWvNQD3*NzNFfga8W0g-LKjoBc3Y0CvOeSc/madaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA: NITAOLEWA 2030