Mazishi ya Komba yamliza Kikwete
Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba
10 years ago
MichuziRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI DAMIANO KOMBA KIJIJINI LITUHI LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LzHplbpto68/VPX8ybFLTEI/AAAAAAAAXaU/-WA0Xp_szPU/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gCx3n0hvDVw/VPX80ka9eqI/AAAAAAAAXac/OnXYPz4U0io/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4OFHzLJ7-Xo/VPX85s0qLoI/AAAAAAAAXak/glmFHfCI9CI/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5qWldsM4JQc/VPX9CojehAI/AAAAAAAAXas/UeW92pNm57Y/s1600/9.jpg)
10 years ago
Vijimambo23 Dec
CHADEMA Yamliza Waziri wa Kikwete kijijini kwake.
Mbali ya Waziri Makala, wengine waliolizwa ni pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Jonas Van Zealand, Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM, Abdalah Mtiga, Katibu Mwenezi wa CCM, Yusufu Kingu, Mwenyekiti wa Vijana (UVCCM), Pascal...
10 years ago
Habarileo03 Mar
Vilio, simanzi mazishi ya Komba
RAIS Jakaya Kikwete jana ameongoza mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kuaga mwili wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba aliyefariki Jumamosi jioni katika Hospitali ya TMJ ikielezwa kuwa kaondoka kama moto wa kiberiti.
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mazishi ya mwandishi wa habari “Thomas Lipuka Komba”aliyezikwa kijijini kwao Mkili wilayani Nyasa
Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa mbele ya sanduku Marehemu Lipuka Komba.
Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma wakishusha sanduku kaburini.
Katibu mtendaji wa Ruvuma Press akichukuwa matukio.
Mjane wa marehemu Christina Haule akiweka shada la maua.
Mwandishi wa habari Thomas Lipuka Komba amezikwa kijijini kwake Mkili wilayani Nyasa Juzi.
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kwa muda mrefu hali iliyosababisha kifo cha ghafla.
Marehemu Thomas Lipuka Komba ni...
10 years ago
Michuzi03 Mar
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MKOANI RUVUMA KUSHIRIKI MAZISHI YA MAREHEMU KAPTENI KOMBA
![kn1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/kn1.jpg)
![kn2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/kn2.jpg)