Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazishi ya Komba yamliza Kikwete

Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga, Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa mkoani Ruvuma jana. (Picha na Freddy Maro).Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba

Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimboakiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma leoRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwekaudongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo

Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma leo.(picha na Freddy Maro).Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI DAMIANO KOMBA KIJIJINI LITUHI LEO

Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge… ...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Ndugu Sixtus Mapunda  pamoja na wananchi kutoka maeneo mbali mbali ya Tanzania kwenda kumzika marehemu Kapteni John Komba kijijini kwake Lituhi.

 Mke wa Marehemu Kapteni John Komba ,Salome (kushoto) akiweka shada la maua juu ya kaburi la marehemu.
 Watoto wa marehemu Kapteni John Komba wakiweka shada la maua juu ya kaburi la Baba yao.
 Watoto wa marehemu wakilia...

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA Yamliza Waziri wa Kikwete kijijini kwake.

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Desemba 14, kimewaliza Viongozi wa Chama cha CCM Mvomero akiwemo Naibu Waziri wa Maji, Amosi Makala, ambapo kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wameangukia Pua, kwa Vijiji vyao kuchukuliwa na Chadema.
Mbali ya Waziri Makala, wengine waliolizwa ni pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Jonas Van Zealand, Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM, Abdalah Mtiga, Katibu Mwenezi wa CCM, Yusufu Kingu, Mwenyekiti wa Vijana (UVCCM), Pascal...

 

10 years ago

Habarileo

Vilio, simanzi mazishi ya Komba

Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba akilia wakati akiaga mwili wa marehemu John Komba, jana.(Picha na Mpigapicha Wetu)RAIS Jakaya Kikwete jana ameongoza mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kuaga mwili wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba aliyefariki Jumamosi jioni katika Hospitali ya TMJ ikielezwa kuwa kaondoka kama moto wa kiberiti.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mazishi ya mwandishi wa habari “Thomas Lipuka Komba”aliyezikwa kijijini kwao Mkili wilayani Nyasa

MAZII4

Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa mbele ya sanduku Marehemu Lipuka Komba.

MAZII3

Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma wakishusha sanduku kaburini.

MAZII2

Katibu mtendaji wa Ruvuma Press akichukuwa matukio.

MAZI1

Mjane wa marehemu Christina Haule akiweka shada la maua.

Mwandishi wa habari Thomas Lipuka Komba amezikwa kijijini kwake Mkili wilayani Nyasa Juzi.

 Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kwa muda mrefu hali iliyosababisha kifo cha ghafla.

Marehemu Thomas Lipuka Komba ni...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MKOANI RUVUMA KUSHIRIKI MAZISHI YA MAREHEMU KAPTENI KOMBA

kn1 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na  akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma Helena Shumbusho mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea mkoani humo tayari kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Kada wa CCM na Mbunge wa jimbo la Mbiga Magharibi Marehemu Kapteni John Damiano Komba aliyefariki hivi karibuni katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mwili wa Kapteni John Komba unazikwa leo huko kijijini kwao Lituhi mkoani Ruvuma. kn2 Katibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani