CHADEMA Yamliza Waziri wa Kikwete kijijini kwake.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Desemba 14, kimewaliza Viongozi wa Chama cha CCM Mvomero akiwemo Naibu Waziri wa Maji, Amosi Makala, ambapo kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wameangukia Pua, kwa Vijiji vyao kuchukuliwa na Chadema.
Mbali ya Waziri Makala, wengine waliolizwa ni pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Jonas Van Zealand, Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM, Abdalah Mtiga, Katibu Mwenezi wa CCM, Yusufu Kingu, Mwenyekiti wa Vijana (UVCCM), Pascal...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Rais Kikwete apiga kura kijijini kwake
NA PATRICIA KIMELEMETA, CHALINZE
RAIS Jakaya Kikwete jana alipiga kura kijijini kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Rais Kikwete ambaye anamaliza muda wake wa uongozi wa miaka 10 tangu alipoingia madarakani Novemba 2005, aliwasili kijijini hapo katika Kituo cha Zahanati ya Msoga, jana saa 12:25 na kupanga foleni ya kupiga kura kama ilivyo kwa wananchi wengine.
Baada ya kumaliza kupiga kura, alisema amejitokeza kutumia haki yake ya msingi ya kuwapigia kura viongozi wanaotarajiwa...
9 years ago
MichuziRais Kikwete apiga kura Kijijini Kwake Msoga.
MKE WA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zaOBKMOIzHo/XmuofvlPpJI/AAAAAAALi_w/A5K1sj0RnRgbekLkDzePCMnms-_CZBd3gCLcBGAsYHQ/s72-c/15ff34c1-c06c-463e-974f-e34e407be159.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akifurahia jambo na watoto, kijijini kwake.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zaOBKMOIzHo/XmuofvlPpJI/AAAAAAALi_w/A5K1sj0RnRgbekLkDzePCMnms-_CZBd3gCLcBGAsYHQ/s640/15ff34c1-c06c-463e-974f-e34e407be159.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LzHplbpto68/VPX8ybFLTEI/AAAAAAAAXaU/-WA0Xp_szPU/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gCx3n0hvDVw/VPX80ka9eqI/AAAAAAAAXac/OnXYPz4U0io/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4OFHzLJ7-Xo/VPX85s0qLoI/AAAAAAAAXak/glmFHfCI9CI/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5qWldsM4JQc/VPX9CojehAI/AAAAAAAAXas/UeW92pNm57Y/s1600/9.jpg)
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAONYA WATUMISHI WA SERIKALI, AWASILI KIJIJINI KWAKE NANDAGLA RUANGWA
![f3940726-a5ba-43fe-8d8a-66bdb6a1cb19](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/f3940726-a5ba-43fe-8d8a-66bdb6a1cb19.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q1Eu1xgl56Y/U_jfzh-q1TI/AAAAAAAGB44/xdYaTYn6dXU/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME KIJIJINI KWAKE HUKO TONGWE - MUHEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q1Eu1xgl56Y/U_jfzh-q1TI/AAAAAAAGB44/xdYaTYn6dXU/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UtAjeqx2E10/U_jfz6E830I/AAAAAAAGB40/s6_bsM0bCEc/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UHsldDgAQ7w/U_jf1FkeA-I/AAAAAAAGB5A/QOTMFxx6A2A/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PTfnirVSWHM/U_jf1WUeaYI/AAAAAAAGB5E/DY56_pU0hV4/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
11 years ago
Habarileo07 Jan
Maelfu wamzika Dk Mgimwa kijijini kwake
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, jana waliongoza maelfu ya wakazi wa mkoani Iringa na mikoa ya jirani katika maziko ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga, Dk William Mgimwa (CCM).
10 years ago
Habarileo04 Mar
Mazishi ya Komba yamliza Kikwete
Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.