Majeruhi yamliza Loga, apata hofu
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Khadija Mngwai KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amefunguka kuwa, anahofia kikosi chake kupata majeruhi katika kipindi hiki cha lala salama kwani watamharibia mipango yake. Simba ipo nafasi ya nne ya msimamo wa ligi kuu kufuatia kuwa na pointi 30, nyuma ya Mbeya City yenye pointi 31, ambapo inahitaji kujipanga ili iweze kufanikiwa kusonga mbele. Akizungumza na Championi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Tambwe apata hofu Ligi Kuu
10 years ago
Habarileo26 Nov
RC apata hofu Dodoma kuwa Jiji
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amesema ni ndoto kwa sasa Manispaa ya Dodoma kuwa Jiji, kutokana na kuwa na kiwango kidogo cha ukusanyaji mapato licha ya kuwa na uwekezaji mkubwa wa serikali.
10 years ago
GPLKUMBUKUMBU YA JESHINI YAMLIZA JB
10 years ago
Mtanzania10 Feb
‘Sijazoea’ yamliza mke wa AT
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa muziki wa mduara, Ally Ramadhani ‘AT’, amesema ameshangazwa kwa mara ya kwanza kumuona mkewe akitoa macho baada ya kusikia wimbo wake mpya wa ‘Sijazoea’.
Akizungumza na MTANZANIA jana, AT alisema, mkewe amekuwa hana kawaida ya kusikiliza nyimbo zake, lakini ameshangazwa kumuona akiusikiliza wimbo huo na kulia.
“Kitendo hicho kimenifurahisha sana na nimejiona nimefanya kazi nzuri, mke wangu yupo tofauti, hapendi na wala hatakagi kusikiliza kazi...
10 years ago
GPLPenalti ya Ajibu yamliza Okwi
10 years ago
Habarileo04 Mar
Mazishi ya Komba yamliza Kikwete
Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Sare ya 3-3 yamliza Luis Suarez
9 years ago
GPLPETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER
11 years ago
GPLNJAA YAMLIZA BABY MADAHA