KUMBUKUMBU YA JESHINI YAMLIZA JB
![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzloyxDzpHILebFLQrjjKCYz5nPz0Cw6EvebdIQqACAu6JGeiSAwYoVRpbhd20IRNznldZf453pgjzR1MKXoTzVB/JAB.jpg?width=650)
Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea kusimulia historia ya maisha yake tangu utotoni hadi sasa. Ni simulizi ndefu na tamu isiyochosha kwa vimbwanga na kila aina ya mikasa ya kusisimua na kustaajabisha. Uhondo huu una takriban wiki tatu sasa, na amefikia kwenye kipengele cha maisha yake jeshini ambapo alieleza sulubu ya mikikimikiki ya jeshini huku akikiri kwamba jeshi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/s480x480/10401981_10206449526990889_6289542229888818994_n.jpg?oh=81839c90cb8deef7131498511492f2b8&oe=565CB2A8)
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
10 years ago
Mtanzania10 Feb
‘Sijazoea’ yamliza mke wa AT
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa muziki wa mduara, Ally Ramadhani ‘AT’, amesema ameshangazwa kwa mara ya kwanza kumuona mkewe akitoa macho baada ya kusikia wimbo wake mpya wa ‘Sijazoea’.
Akizungumza na MTANZANIA jana, AT alisema, mkewe amekuwa hana kawaida ya kusikiliza nyimbo zake, lakini ameshangazwa kumuona akiusikiliza wimbo huo na kulia.
“Kitendo hicho kimenifurahisha sana na nimejiona nimefanya kazi nzuri, mke wangu yupo tofauti, hapendi na wala hatakagi kusikiliza kazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRgFndkAowTFxpJVDy55TNN4c9C-CQwH1XEzXRLmMu1vxQ2GJZI58ZVhstSu3JwzM5x3bLKBp7YcKILpEskg4Aa/madaha.jpg?width=650)
NJAA YAMLIZA BABY MADAHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhe4AkdkGCX53jdqM4CtH3t-yxLRAg-95d*KqUMN1YQPTQTTxIOf5OojjuGID4hWi8WthN-MjqHYj0ZddmrTRHc-/19.jpg?width=650)
Penalti ya Ajibu yamliza Okwi
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/WOLPER-11.jpg)
PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER
11 years ago
BBCSwahili06 May
Sare ya 3-3 yamliza Luis Suarez
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Mapokezi yamliza Lembeli Kahama
10 years ago
Habarileo04 Mar
Mazishi ya Komba yamliza Kikwete
Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Bendera ya ANC yamliza Graca