Penalti zawabeba Mtibwa, Polisi
Mtibwa Sugar na Polisi Zanzibar zimetinga nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Mapinduzi kwa mikwaju ya penalti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Sep
YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/09/yanga-team-1-640x320.jpg)
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...
5 years ago
StarTV19 Feb
Mtibwa Sugar yaiondosha Polisi Moro kombe la FA
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bDmjSM9kXXaKt14O2o3fMCN54cdAPvvnzXmwU0ksBMIqPCUqHquUWyxqbTvhUIjGAm52VZRT84ZTF4QWhrM1BziG85bOAKTJ/1DAR2.jpg?width=650)
Du! Penalti
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Sure Boy agoma penalti
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Terry alilia penalti
KIEV, Urusi
BEKI wa Chelsea, Mwingereza John Terry, amedai kuwa timu yake ilinyimwa penalti katika mchezo wa juzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Dynamo Kiev ambapo timu hizo hazikufungana.
Katika mchezo huo wa kundi G uliopigwa Olympic Stadium nchini Urusi, kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas, aliangushwa ndani ya eneo la hatari na mlinzi wa Dynamo Kiev, Sergiy Rybalka, lakini mwamuzi Damir Skomina, aliamuru mchezo uendelee, jambo ambalo Terry anahisi si sahihi.
“Bado tupo vizuri,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhe4AkdkGCX53jdqM4CtH3t-yxLRAg-95d*KqUMN1YQPTQTTxIOf5OojjuGID4hWi8WthN-MjqHYj0ZddmrTRHc-/19.jpg?width=650)
Penalti ya Ajibu yamliza Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6bm9*nuyxC8yV1UQCWD3sCTNVWdzV-P2HmiznAlZ5Gqs21jIG*ltZxKXqdf*w0fc3hy*Oa1bio3ex8-h2BouXtq/penalti.jpg?width=600)
Penalti za Cannavaro, mbwembwe 100%
10 years ago
BBCSwahili04 May
V Persie anyimwa haki za kupiga Penalti