Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Penalti zawabeba Mtibwa, Polisi

Mtibwa Sugar na Polisi Zanzibar zimetinga nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Mapinduzi kwa mikwaju ya penalti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI

Na Baraka Mpenja
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...

 

5 years ago

StarTV

Mtibwa Sugar yaiondosha Polisi Moro kombe la FA

Timu ya maafande wa Polisi Morogoro inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza ngazi ya Taifa, imetupwa nje ya michuano ya kombe la Shirikisho, baada ya kushindwa kutamba mbele ya mahasimu wao, wakata miwa Turiani timu ya Mtibwa Sugar, kupitia mikwaju ya Penati. Mchezo huo ulimalizika kwa timu zote mbili kutoka sare ya goli mbili kwa mbili …

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

Du! Penalti

Na Saleh Ally, Alexandria
YANGA wameonyesha juhudi za kutosha, lakini wakajikuta wakiondolewa kwa matuta kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, jana usiku. Yanga inaendeleza rekodi yake ya kutowaondoa Waarabu kwenye michuano ya kimataifa.
Mshambuliaji Said Bahanuzi ndiye atakayejilaumu zaidi, kwani alikuwa anakwenda kupiga penalti ambayo ingewaondoa Al Ahly lakini akapiga nje.

Awali  katika penalti...

 

10 years ago

Mwananchi

Sure Boy agoma penalti

Kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ ametaka kocha wake asijisumbue kumpanga katika orodha ya watakaopiga penalti endapo Azam FC itafikia hatua hiyo dhidi ya El Merreikh ya Sudan kesho kwenye Uwanja wa Nyamirambo.

 

9 years ago

Mtanzania

Terry alilia penalti

John-Terry_3019132KIEV, Urusi

BEKI wa Chelsea, Mwingereza John Terry, amedai kuwa timu yake ilinyimwa penalti katika mchezo wa juzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Dynamo Kiev ambapo timu hizo hazikufungana.

Katika mchezo huo wa kundi G uliopigwa Olympic Stadium nchini Urusi, kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas, aliangushwa ndani ya eneo la hatari na mlinzi wa Dynamo Kiev, Sergiy Rybalka, lakini mwamuzi Damir Skomina, aliamuru mchezo uendelee, jambo ambalo Terry anahisi si sahihi.

“Bado tupo vizuri,...

 

10 years ago

GPL

Penalti ya Ajibu yamliza Okwi

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Nassor Gallu,
Dar es Salaam
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameweka wazi kuwa alitaka kupiga penalti ambayo Ibrahim Ajibu alipiga na kukosa juzi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Katika mchezo huo ulioisha kwa Simba kushinda mabao 3-0, Simba walipoteza penalti katika dakika ya 12 baada ya Ajibu kuupaisha mpira juu ya...

 

11 years ago

GPL

Penalti za Cannavaro, mbwembwe 100%

Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Lucy Mgina na Sweetbert Lukonge
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ana mbwembwe, baada ya kufanikiwa kufunga penalti kwa ufundi katika mechi dhidi ya Prisons kwenye Uwanja wa Taifa, juzi, ametoa tambo zake kuwa huwa anapiga penalti 15 kabla ya kuingia uwanjani. Cannavaro ambaye hiyo ni penalti yake ya pili kupiga kiufundi na kufunga baada ya kufanya...

 

10 years ago

BBCSwahili

V Persie anyimwa haki za kupiga Penalti

Mkufunzi Louis Van Gaal amempokonya mshambuliaji wa kilabu hiyo Robin Van Persie haki za kupiga mkwaju wa penalti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani