Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Terry alilia penalti

John-Terry_3019132KIEV, Urusi

BEKI wa Chelsea, Mwingereza John Terry, amedai kuwa timu yake ilinyimwa penalti katika mchezo wa juzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Dynamo Kiev ambapo timu hizo hazikufungana.

Katika mchezo huo wa kundi G uliopigwa Olympic Stadium nchini Urusi, kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas, aliangushwa ndani ya eneo la hatari na mlinzi wa Dynamo Kiev, Sergiy Rybalka, lakini mwamuzi Damir Skomina, aliamuru mchezo uendelee, jambo ambalo Terry anahisi si sahihi.

“Bado tupo vizuri,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Drogba as good as ever - Terry

Didier Drogba is backed by Chelsea team-mate John Terry to be a success on his return to the Premier League.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mourinho amwagia sifa Terry

KOCHA wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England  Jose Mourinho, amesema bila ushawishi wake John Terry asingekuwa katika kikosi hicho.
Mourinho alisema katika kipindi kirefu ameweza kumshawishi Terry kuendelea kuichezea timu hiyo licha ya kutaka kuondoka mara kwa mara.Kocha huyo alisema kila Terry alivyotaka kuondoka alimzuia kwani alikuwa muhimu sana katika kikosi chake na ndio maana alikuwa akimzuia."Nimekuwa nikimzuia Terry kuondoka kwa kuwa mimi kama kocha najua umuhimu wake kwani ameweza...

 

11 years ago

GPL

Du! Penalti

Na Saleh Ally, Alexandria
YANGA wameonyesha juhudi za kutosha, lakini wakajikuta wakiondolewa kwa matuta kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, jana usiku. Yanga inaendeleza rekodi yake ya kutowaondoa Waarabu kwenye michuano ya kimataifa.
Mshambuliaji Said Bahanuzi ndiye atakayejilaumu zaidi, kwani alikuwa anakwenda kupiga penalti ambayo ingewaondoa Al Ahly lakini akapiga nje.

Awali  katika penalti...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nataka Mkataba wa miezi 12: John Terry

Nahodha wa Chelsea John Terry amesema ana matumaini kuwa ataendelea kuichezea Chelsea kwa muda mrefu zaidi

 

10 years ago

BBCSwahili

John Terry aongezewa mkataba Chelsea

Nahodha wa kilabu ya Chelsea John Terry ameongeza mkataba wake katika kilabu hiyo hadi mwisho wa msimu wa mwaka 2015-16.

 

9 years ago

Mtanzania

Jose Mourinho ashambuliwa na mashabiki, kisa Terry

jose-mourinho_epa_2587091kLONDON, ENGLAND

MASHABIKI wa klabu ya Chelsea wamemtupia lawama kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, baada ya kumuweka benchi beki wake, John Terry katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Porto.

 

Mchezo huo ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa Dragao nchini Ureno, Chelsea ilikubali kichapo cha mabao 2-1, huku beki wake akiachwa benchi na kocha huyo.

 

Kitendo hicho kiliwafanya mashabiki watume ujumbe mbalimbali katika klabu hiyo wa kudai kwamba wanamtaka beki huyo kupewa nafasi ya kuanza kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Sure Boy agoma penalti

Kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ ametaka kocha wake asijisumbue kumpanga katika orodha ya watakaopiga penalti endapo Azam FC itafikia hatua hiyo dhidi ya El Merreikh ya Sudan kesho kwenye Uwanja wa Nyamirambo.

 

5 years ago

Bongo5

John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu

Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.

Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.

Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...

 

11 years ago

GPL

Penalti za Cannavaro, mbwembwe 100%

Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Lucy Mgina na Sweetbert Lukonge
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ana mbwembwe, baada ya kufanikiwa kufunga penalti kwa ufundi katika mechi dhidi ya Prisons kwenye Uwanja wa Taifa, juzi, ametoa tambo zake kuwa huwa anapiga penalti 15 kabla ya kuingia uwanjani. Cannavaro ambaye hiyo ni penalti yake ya pili kupiga kiufundi na kufunga baada ya kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani