Drogba as good as ever - Terry
![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76805000/jpg/_76805062_hi023393729.jpg)
Didier Drogba is backed by Chelsea team-mate John Terry to be a success on his return to the Premier League.
BBC
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen23 Mar
Plea to give people good Katiba Deliver good Katiba to : Grant TZ good new call
10 years ago
TheCitizen20 Mar
EDITORIAL: Good law will be good for us all, so don’t rush bill
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75346000/jpg/_75346238_sekuma1920.jpg)
VIDEO: 'Good musicians make good money'
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Terry alilia penalti
KIEV, Urusi
BEKI wa Chelsea, Mwingereza John Terry, amedai kuwa timu yake ilinyimwa penalti katika mchezo wa juzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Dynamo Kiev ambapo timu hizo hazikufungana.
Katika mchezo huo wa kundi G uliopigwa Olympic Stadium nchini Urusi, kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas, aliangushwa ndani ya eneo la hatari na mlinzi wa Dynamo Kiev, Sergiy Rybalka, lakini mwamuzi Damir Skomina, aliamuru mchezo uendelee, jambo ambalo Terry anahisi si sahihi.
“Bado tupo vizuri,...
10 years ago
Daily News14 Jul
Good CCM show is good for business
Times LIVE
Daily News
THE ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) was last week engaged in the process of nomination of its candidate to run for president of the United Republic in the forthcoming general election scheduled for October 25. The process was initially shrouded in an ...
Savouring the Beauty of CCM UnityAllAfrica.com
Tanzania's ruling party picks works minister for presidential raceReuters Africa
Kikwete's likely successorTimes LIVE
IPPmedia
all 188
10 years ago
Uhuru NewspaperMourinho amwagia sifa Terry
Mourinho alisema katika kipindi kirefu ameweza kumshawishi Terry kuendelea kuichezea timu hiyo licha ya kutaka kuondoka mara kwa mara.Kocha huyo alisema kila Terry alivyotaka kuondoka alimzuia kwani alikuwa muhimu sana katika kikosi chake na ndio maana alikuwa akimzuia."Nimekuwa nikimzuia Terry kuondoka kwa kuwa mimi kama kocha najua umuhimu wake kwani ameweza...
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Nataka Mkataba wa miezi 12: John Terry
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
John Terry aongezewa mkataba Chelsea
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Jose Mourinho ashambuliwa na mashabiki, kisa Terry
![jose-mourinho_epa_2587091k](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/jose-mourinho_epa_2587091k-300x187.jpg)
MASHABIKI wa klabu ya Chelsea wamemtupia lawama kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, baada ya kumuweka benchi beki wake, John Terry katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Porto.
Mchezo huo ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa Dragao nchini Ureno, Chelsea ilikubali kichapo cha mabao 2-1, huku beki wake akiachwa benchi na kocha huyo.
Kitendo hicho kiliwafanya mashabiki watume ujumbe mbalimbali katika klabu hiyo wa kudai kwamba wanamtaka beki huyo kupewa nafasi ya kuanza kama...