Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Terry aongezewa mkataba Chelsea

Nahodha wa kilabu ya Chelsea John Terry ameongeza mkataba wake katika kilabu hiyo hadi mwisho wa msimu wa mwaka 2015-16.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nataka Mkataba wa miezi 12: John Terry

Nahodha wa Chelsea John Terry amesema ana matumaini kuwa ataendelea kuichezea Chelsea kwa muda mrefu zaidi

 

5 years ago

Bongo5

John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu

Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.

Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.

Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...

 

5 years ago

Mirror Online

John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea

John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea  Mirror OnlineChelsea v Man United referee Anthony Taylor and VAR Chris Kavanagh are both from Manchester  GIVEMESPORTBruno Fernandes reacts to Manchester United win vs Chelsea  Sportslens.com'One of the better ones I've ever seen' - Solskjaer hails Fernandes' set piece delivery  Goal.comVideo: Mino Raiola clears up Paul Pogba situation at Manchester United  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi TBC aongezewa mkataba

SERIKALI imemuongezea muda wa mkataba wa miaka miwili Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana, aliyetimiza miaka 60 ya kustaafu kwa mujibu wa sheria, Machi mwaka huu....

 

10 years ago

Vijimambo

PLUIJM AONGEZEWA MKATABA YANGA

Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm.
Na Hans MloliBAADA ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, kufanikiwa kuiongoza timu hiyo kufanya vizuri katika mechi zake kadhaa ikiwemo ya kimataifa dhidi ya BDF XI ya Botswana, hatimaye uongozi wa klabu hiyo umeamua kumuongezea mkataba.Uamuzi wa kumuongezea mkataba kocha huyo wa zamani wa Berekum Chelsea ya Ghana, ulikuja baada ya kikao cha viongozi wa Yanga kilichoketi takriban wiki moja iliyopita kwa lengo la kufanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha Mgambo JKT aongezewa mkataba

KOCHA wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amekubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Shime aliyeichukua timu hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

ALOCHOANDIKA JOHN TERRY KWENYE INSTAGRAM BAADA YA MTANANGE WAO NA MAN CITY

#JohnTerry instagrams after the match...

A good point after yesterday's game which leaves us top and 5 points clear of Manchester City.
Lamps is a proper Chelsea LEGEND and I'm so pleased he got a great send off after the game because I know how much Chelsea means to him. Lamps won everything with us and in my opinion the best and most consistent player ever.
Love Ya mate
#respect

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA CHELSEA KUTWAA KIKOMBE CHA CAPITAL ONE WATOTO WA TERRY WALIFANYA KOMBE SANDWICH.

John Terry aliweka picha hii kwenye Instagram akionyesha kombe walilonyakua jana limelala katikati ya watoto wake sijuhi alikuwa na maana gani watoto walifanya kombe sandwich mambo ya ushindi hayo.John  Terry katikati akipongezwa na wenzie baada ya kufunga goli la kwanza katika mchezo huo wa final uliochezwa Wembley na kufanikiwa kuwafunga Tottenham 2 kwa 0 na kunyakua kikombe cha capital one jumapili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani