John Terry aongezewa mkataba Chelsea
Nahodha wa kilabu ya Chelsea John Terry ameongeza mkataba wake katika kilabu hiyo hadi mwisho wa msimu wa mwaka 2015-16.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Nataka Mkataba wa miezi 12: John Terry
5 years ago
Bongo514 Feb
John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu
Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.
Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.
Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...
5 years ago
Mirror Online18 Feb
John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea
9 years ago
MillardAyo15 Dec
TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …
Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]
The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Mkurugenzi TBC aongezewa mkataba
SERIKALI imemuongezea muda wa mkataba wa miaka miwili Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana, aliyetimiza miaka 60 ya kustaafu kwa mujibu wa sheria, Machi mwaka huu....
10 years ago
Vijimambo16 Feb
PLUIJM AONGEZEWA MKATABA YANGA
![](http://api.ning.com/files/qB*eEYpVu7NddqdvVkVHx-dEcToHd*l9wI8uWULRac-eoJK21BYyRSETIj6Z8pNn8ip4Lsru7vO3bIPDRl05jTGtAwkNAV7b/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Na Hans MloliBAADA ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, kufanikiwa kuiongoza timu hiyo kufanya vizuri katika mechi zake kadhaa ikiwemo ya kimataifa dhidi ya BDF XI ya Botswana, hatimaye uongozi wa klabu hiyo umeamua kumuongezea mkataba.Uamuzi wa kumuongezea mkataba kocha huyo wa zamani wa Berekum Chelsea ya Ghana, ulikuja baada ya kikao cha viongozi wa Yanga kilichoketi takriban wiki moja iliyopita kwa lengo la kufanya...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Kocha Mgambo JKT aongezewa mkataba
KOCHA wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amekubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Shime aliyeichukua timu hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-G8NNk7VaCrA/VM59pnIu5JI/AAAAAAAAKoA/sc4yRB9tXgE/s72-c/ByEywjSIQAEQ3St.jpg)
ALOCHOANDIKA JOHN TERRY KWENYE INSTAGRAM BAADA YA MTANANGE WAO NA MAN CITY
![](https://lh3.googleusercontent.com/-G8NNk7VaCrA/VM59pnIu5JI/AAAAAAAAKoA/sc4yRB9tXgE/s640/ByEywjSIQAEQ3St.jpg)
A good point after yesterday's game which leaves us top and 5 points clear of Manchester City.
Lamps is a proper Chelsea LEGEND and I'm so pleased he got a great send off after the game because I know how much Chelsea means to him. Lamps won everything with us and in my opinion the best and most consistent player ever.
Love Ya mate
#respect
10 years ago
Vijimambo02 Mar
BAADA YA CHELSEA KUTWAA KIKOMBE CHA CAPITAL ONE WATOTO WA TERRY WALIFANYA KOMBE SANDWICH.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/263D7DA500000578-2975528-John_Terry_s_children_lay_asleep_with_the_Capital_One_Cup_sandwi-a-50_1425295835619.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/26373FE900000578-2975427-image-a-22_1425290886502.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/26388DD900000578-2975427-image-a-25_1425290957649.jpg)