ALOCHOANDIKA JOHN TERRY KWENYE INSTAGRAM BAADA YA MTANANGE WAO NA MAN CITY
![](https://lh3.googleusercontent.com/-G8NNk7VaCrA/VM59pnIu5JI/AAAAAAAAKoA/sc4yRB9tXgE/s72-c/ByEywjSIQAEQ3St.jpg)
#JohnTerry instagrams after the match...
A good point after yesterday's game which leaves us top and 5 points clear of Manchester City.
Lamps is a proper Chelsea LEGEND and I'm so pleased he got a great send off after the game because I know how much Chelsea means to him. Lamps won everything with us and in my opinion the best and most consistent player ever.
Love Ya mate
#respect
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mirror Online18 Feb
John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Courtois nje ya mtanange wa Man City
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
John Terry aongezewa mkataba Chelsea
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Nataka Mkataba wa miezi 12: John Terry
5 years ago
Bongo514 Feb
John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu
Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.
Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.
Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...
9 years ago
Bongo515 Sep
Sauti Sol waonesha mpango wa kutaka kumshirikisha John Legend kwenye remix ya wimbo wao mpya ‘Isabella ’
9 years ago
Bongo511 Nov
Ray C aomba msamaha baada ya video yake akiwa mtupu kupostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram
![Ray new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Ray-new-300x194.jpg)
Siku ya jana Nov.10 kuna video mbaya ya mwanadada Rehema Chalamila maarufu kama Ray C akiwa mtupu akikata mauno zilipostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram (@rayc1982) na muda mfupi baadaye kufutwa.
Akizungumza na U Heard ya Clouds Fm leo, Ray C amekiri kuwa ni kweli aliyeonekana kwenye video hiyo ni yeye.
“Ndio ni kweli video hiyo ilipostiwa kwenye akaunti yangu ila sio mimi niliyeipost.” Alisema Ray C.
Ray C aliongeza kuwa video hiyo alirekodiwa na mpenzi wake kwaajili ya matumizi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Man City kuwaongezea siku moja zaidi Liverpool kusubiri taji baada ya miaka 30
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Unachopaswa kufahamu, hapa Meridianbet kuna idadi kubwa sana ya odds zinazoisubiri mechi hii. Matokeo mengine yeyote zaidi ya Man City kushinda ina maana baada ya miaka 30 ya kusubiri, hatimaye Anfield wanapokea taji....
10 years ago
Vijimambo02 Mar
BAADA YA CHELSEA KUTWAA KIKOMBE CHA CAPITAL ONE WATOTO WA TERRY WALIFANYA KOMBE SANDWICH.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/263D7DA500000578-2975528-John_Terry_s_children_lay_asleep_with_the_Capital_One_Cup_sandwi-a-50_1425295835619.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/26373FE900000578-2975427-image-a-22_1425290886502.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/26388DD900000578-2975427-image-a-25_1425290957649.jpg)