Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu

Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.

Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.

Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

John Terry aongezewa mkataba Chelsea

Nahodha wa kilabu ya Chelsea John Terry ameongeza mkataba wake katika kilabu hiyo hadi mwisho wa msimu wa mwaka 2015-16.

 

5 years ago

Mirror Online

John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea

John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea  Mirror OnlineChelsea v Man United referee Anthony Taylor and VAR Chris Kavanagh are both from Manchester  GIVEMESPORTBruno Fernandes reacts to Manchester United win vs Chelsea  Sportslens.com'One of the better ones I've ever seen' - Solskjaer hails Fernandes' set piece delivery  Goal.comVideo: Mino Raiola clears up Paul Pogba situation at Manchester United  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viwanjani mwishoni mwa wiki

Ligi kuu ya England imeendelea kwa mechi mbili ambapo..Arsenal imeibamiza Man City ,Huku Westham Ikiibamiza Hull City bao 3-0

 

11 years ago

Mwananchi

SIMULIZI ZA TIDO: Mambo ya mwishoni mwa mwaka

>Awali ya yote niwaombe radhi wasomaji wangu wapendwa kwamba safu yenu hii haikuwepo kwa majuma mawili, hii ni kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wangu.Kila ifikapo mwishoni mwa mwaka huwa ni wakati wa kutafakari mafanikio na mapungufu ya mwaka husika. Wakati wa kuufurahia mwaka huo au kushukuru ya kwamba unamalizika, maana mambo hayakuwa mazuri na hivyo kuangalia mbele mwaka ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nchi za EAC kukutana mwishoni mwa Juma

Nchi za jumuia ya Afrika Mashariki zinakutana siku ya Jumapili kujadili hali ya Burundi

 

10 years ago

BBCSwahili

Nataka Mkataba wa miezi 12: John Terry

Nahodha wa Chelsea John Terry amesema ana matumaini kuwa ataendelea kuichezea Chelsea kwa muda mrefu zaidi

 

9 years ago

Mtanzania

Ray C kufanya shoo Kenya mwishoni mwa wiki

ray-cMWANAMUZIKI aliyepitia changamoto za matumizi ya dawa za kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, mwishoni mwa wiki anatarajiwa kufanya onyesho nchini Kenya.

Onyesho hilo la kumrudisha mwanadada huyo aliyewahi kujizolea umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kukata kiuno na kuimba litafanyika katika mji wa Malindi.

Umbo na uwezo wake wa kunengua kwa madoido na sauti nzuri aliyokuwa nayo ndivyo vilivyompa umaarufu kwa idadi kubwa ya wapenda burudani nchini Kenya, Uganda na Tanzania.

Lakini hata...

 

11 years ago

Michuzi

WAZEE WA NGWASUMA WALIVYOWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA MWISHONI MWA WIKI

DSCF2780Wazee wa ngwasuma wakiburudisha mashabiki  ndani ya triple A night club-Arusha siku ya wapendanao Kwa udhamini mnono wa kampuni ya Megatrade  Investment kupitia kinywaji chake cha K-vant Gin DSCF2770Wapili kushoto ni Meneja mauzo na masoko Goodluck Kway wa kampuni ya Megatrade  Investment akiwa katika meza ya pamoja na wadau siku ya valentine’s day. DSCF2783Mashabiki wakifanya yao wakati wazee wa ngwasuma wakitoa burudani DSCF2778Jailos Joseph wa Megatrade akiyarudi ndani ya stage…kushoto ni mdau wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani