John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu
Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.
Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.
Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
John Terry aongezewa mkataba Chelsea
5 years ago
Mirror Online18 Feb
John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea
9 years ago
MillardAyo15 Dec
TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …
Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]
The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Viwanjani mwishoni mwa wiki
11 years ago
Mwananchi30 Dec
SIMULIZI ZA TIDO: Mambo ya mwishoni mwa mwaka
10 years ago
BBCSwahili26 May
Nchi za EAC kukutana mwishoni mwa Juma
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Nataka Mkataba wa miezi 12: John Terry
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Ray C kufanya shoo Kenya mwishoni mwa wiki
MWANAMUZIKI aliyepitia changamoto za matumizi ya dawa za kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, mwishoni mwa wiki anatarajiwa kufanya onyesho nchini Kenya.
Onyesho hilo la kumrudisha mwanadada huyo aliyewahi kujizolea umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kukata kiuno na kuimba litafanyika katika mji wa Malindi.
Umbo na uwezo wake wa kunengua kwa madoido na sauti nzuri aliyokuwa nayo ndivyo vilivyompa umaarufu kwa idadi kubwa ya wapenda burudani nchini Kenya, Uganda na Tanzania.
Lakini hata...
11 years ago
Michuzi17 Feb
WAZEE WA NGWASUMA WALIVYOWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA MWISHONI MWA WIKI
![DSCF2780](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/4kmjN7xTPf20TTTqwx1y0cS5k01p2BCxX8ZyiCzghoxCZrwklYLpqITI5YIvIZZfpxWW29wbKaEPFWUKAo1PtzTS_lIYrRPwrrGI1W5fUbKyp5IFDNVK1Xq0aTwiTQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2780.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2770](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VXHesam46xP_k5Isch4ZASILVf1P7Fusj89hJR40jdCc-ZcswK8ICCFbNJkMqN1lCa22Sc9rNCcRon8FsR1X0nBTQxLFX9u3vhta7BiXo4kf-LKb4i2RlO4Qvf64cQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2770.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2783](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/BBd_xO5q9hYFKA-2icj3dsLOdOn9t0sut6NuRgvdz0dbjbMasQLOpR8qsVP7BAT98LXBYcmXT9xP9T0BSFP-PpWT41EGl7Snxr8Mqhkxa9_uDsf_SAYQZ0ufCsmu-g=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2783.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2778](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/QDnp3ONur2FlRAUBdcO8bEKRfo1CqK58N2gVA-EW3SHzVWWqhXDHC9vASEoQCUEUpIL-XuZGox_Uv3uOcEGeZzmMNi1ZUS5k1SruXANfmBw-peCrAMUVA3LKoScUcA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2778.jpg?w=627&h=470)