Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchi za EAC kukutana mwishoni mwa Juma

Nchi za jumuia ya Afrika Mashariki zinakutana siku ya Jumapili kujadili hali ya Burundi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa EAC kuhusu Burundi kufanyika mwishoni mwa mwezi Mei

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) tarehe 25 Mei, 2015 kuhusu Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaotarajiwa kufanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Mei, 2015 kuhusu masuala ya amani na usalama nchini Burundi. Mkutano huo ambao umeitishwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya EAC, Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete utatanguliwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri.Mhe. Membe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viwanjani mwishoni mwa wiki

Ligi kuu ya England imeendelea kwa mechi mbili ambapo..Arsenal imeibamiza Man City ,Huku Westham Ikiibamiza Hull City bao 3-0

 

11 years ago

Mwananchi

SIMULIZI ZA TIDO: Mambo ya mwishoni mwa mwaka

>Awali ya yote niwaombe radhi wasomaji wangu wapendwa kwamba safu yenu hii haikuwepo kwa majuma mawili, hii ni kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wangu.Kila ifikapo mwishoni mwa mwaka huwa ni wakati wa kutafakari mafanikio na mapungufu ya mwaka husika. Wakati wa kuufurahia mwaka huo au kushukuru ya kwamba unamalizika, maana mambo hayakuwa mazuri na hivyo kuangalia mbele mwaka ujao.

 

5 years ago

Bongo5

John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu

Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.

Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.

Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...

 

9 years ago

Mtanzania

Ray C kufanya shoo Kenya mwishoni mwa wiki

ray-cMWANAMUZIKI aliyepitia changamoto za matumizi ya dawa za kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, mwishoni mwa wiki anatarajiwa kufanya onyesho nchini Kenya.

Onyesho hilo la kumrudisha mwanadada huyo aliyewahi kujizolea umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kukata kiuno na kuimba litafanyika katika mji wa Malindi.

Umbo na uwezo wake wa kunengua kwa madoido na sauti nzuri aliyokuwa nayo ndivyo vilivyompa umaarufu kwa idadi kubwa ya wapenda burudani nchini Kenya, Uganda na Tanzania.

Lakini hata...

 

10 years ago

GPL

TIMU YA VODACOM YALALA 1-0 KWA CBA MWISHONI MWA WIKI‏

Mchezaji wa timu ya Vodacom Tanzania  Hans Henry akijaribu kumtoka beki wa timu ya CBA Anjerus Ngimbo wakati wa bonaza lillozishirikisha timu za makampuni  mbalimbali lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya shule ya msingi ya Ushindi iliyopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam,  Timu ya Vodacom ilifungwa 1-0 na timu ya CBA. Mshambuliaji hatari wa timu ya Vodacom Hans Henry… ...

 

11 years ago

Michuzi

WAZEE WA NGWASUMA WALIVYOWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA MWISHONI MWA WIKI

DSCF2780Wazee wa ngwasuma wakiburudisha mashabiki  ndani ya triple A night club-Arusha siku ya wapendanao Kwa udhamini mnono wa kampuni ya Megatrade  Investment kupitia kinywaji chake cha K-vant Gin DSCF2770Wapili kushoto ni Meneja mauzo na masoko Goodluck Kway wa kampuni ya Megatrade  Investment akiwa katika meza ya pamoja na wadau siku ya valentine’s day. DSCF2783Mashabiki wakifanya yao wakati wazee wa ngwasuma wakitoa burudani DSCF2778Jailos Joseph wa Megatrade akiyarudi ndani ya stage…kushoto ni mdau wa...

 

9 years ago

Michuzi

CCM WAZINDUA KAMPENI JIMBO LA MLALO WILAYA YA LUSHOTO MWISHONI MWA WIKI

Katibu wa chama hicho wilayani Lushoto, ndugu Mahanyu, akizungumza wakati wa kuzindua kampeni za chama hicho katika viwanja vya Lwandai Mlalo wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga, akiwa na Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha  Mapinduzi,CCM jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi  wishoni mwa wiki.  Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha  Mapinduzi,CCM jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika viwanja vya Lwandai Mlalo, kulia ni Mgombea wa udiwani  wa kata ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hii ni zaidi ya burudani ya Tamasha la Tigo Welcome Pack wilayani Kahama mwishoni mwa wiki

joti (2)...

Msanii wa vichekesho Lucas Mhavile a.k.a Joti akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.

masanja (1)..

Msanii wa vichekesho Masanja akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.

masanja (2)..

mpoki...

Msanii wa vichekesho mpoki akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.

orijino komedi (1)...

orijino komedi (2)..

mwanafa..

Msanii wa Bongo fleva Mwana FA akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani