SIMULIZI ZA TIDO: Mambo ya mwishoni mwa mwaka
>Awali ya yote niwaombe radhi wasomaji wangu wapendwa kwamba safu yenu hii haikuwepo kwa majuma mawili, hii ni kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wangu.Kila ifikapo mwishoni mwa mwaka huwa ni wakati wa kutafakari mafanikio na mapungufu ya mwaka husika. Wakati wa kuufurahia mwaka huo au kushukuru ya kwamba unamalizika, maana mambo hayakuwa mazuri na hivyo kuangalia mbele mwaka ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Halotel kufikisha mtandao kwa asilimia 95 ya watanzania hadi mwishoni mwa mwaka 2016
Naibu Mkurugenzi wa Kampuni ya mawasiliano ya Halotel, Le Van Dai akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam leo kuhusuiana na mtandao huo kutanua huduama zake hadi kufikia asimimia 95 ya watazanzania. Wanaoshuhudia ni Naibu Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Emanuel Malyeta (kushoto), na kulia kwake ni mwanasheria wa kampuni hiyo,Christopher Masai.
Naibu Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Halotel, Emanuel Malyeta akifafanunua jambo kwa waandishi wa habari....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvfdPrb786JA3xGWyduuRhZLzuKRja3gOhnO-JXg*BAdkB0fSsd-7Pwp-RIjSxxadDYEnqGZ6c5TSSGVyO0-8PeM/AIRASIA.jpg)
MAJANGA MWISHONI MWA MWAKA 2014: NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
10 years ago
Mwananchi07 Sep
SIMULIZI ZA TIDO: Kosa kubwa
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Viwanjani mwishoni mwa wiki
10 years ago
BBCSwahili26 May
Nchi za EAC kukutana mwishoni mwa Juma
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Ray C kufanya shoo Kenya mwishoni mwa wiki
MWANAMUZIKI aliyepitia changamoto za matumizi ya dawa za kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, mwishoni mwa wiki anatarajiwa kufanya onyesho nchini Kenya.
Onyesho hilo la kumrudisha mwanadada huyo aliyewahi kujizolea umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kukata kiuno na kuimba litafanyika katika mji wa Malindi.
Umbo na uwezo wake wa kunengua kwa madoido na sauti nzuri aliyokuwa nayo ndivyo vilivyompa umaarufu kwa idadi kubwa ya wapenda burudani nchini Kenya, Uganda na Tanzania.
Lakini hata...
5 years ago
Bongo514 Feb
John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu
Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.
Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.
Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...
10 years ago
GPLTIMU YA VODACOM YALALA 1-0 KWA CBA MWISHONI MWA WIKI