Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADA YA CHELSEA KUTWAA KIKOMBE CHA CAPITAL ONE WATOTO WA TERRY WALIFANYA KOMBE SANDWICH.

John Terry aliweka picha hii kwenye Instagram akionyesha kombe walilonyakua jana limelala katikati ya watoto wake sijuhi alikuwa na maana gani watoto walifanya kombe sandwich mambo ya ushindi hayo.John  Terry katikati akipongezwa na wenzie baada ya kufunga goli la kwanza katika mchezo huo wa final uliochezwa Wembley na kufanikiwa kuwafunga Tottenham 2 kwa 0 na kunyakua kikombe cha capital one jumapili.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatinga fainali Kombe la Capital

Chelsea wamefanikiwa kutinga fainali ya kombe la ligi la Capital One baada ya kuwachapa Liverpool bao 1-0

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Chelsea kupitia kipindi kigumu, Terry ana haya, Fabregas na Pedro muda wa kupiga self umepatikana …

Klabu ya soka ya Chelsea January 3 ilivunja mwiko wa kutopata matokeo mazuri kwa kuiadhibu klabu ya Crystal Palace kwa jumla ya goli 3-0 katika uwanja wa ugenini. Chelsea ambayo ilikuwa katika wakati mgumu kwa kupoteza mechi nyingi kuliko kawaida yake, wachezaji wameanza kuwa na furaha na matokeo hayo. Nahodha wa klabu hiyo John Terry […]

The post Baada ya Chelsea kupitia kipindi kigumu, Terry ana haya, Fabregas na Pedro muda wa kupiga self umepatikana … appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge

>Maelfu ya watu wamemiminika tena katika eneo la Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha, safari hii siyo kunywa Kikombe cha Babu Mchungaji Ambilikile Mwasapile, bali kupata dhahabu inayodaiwa kugundulika  katika eneo hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1

Mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Leicester ( katikati ) Marc Albrighton ukimpita mlinda mlango wa Chelsea Petr Cech ( kushoto ) na beki wake Gary Cahill na kujaa wavuni kuiandikia Leicester bao la kuongoza. Mshambuliaji nguli wa Chelsea, Didier Drogba akipiga mpira uliokwenda moja kwa moja nyavuni na ukisawazishia timu yake katika dakika ya 48 muda mfupi tu baada ya kipindi cha pili kuanza.Wachezaji wa Chelsea wakiwasalimia mashabiki wao baada kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Leicester...

 

10 years ago

BBCSwahili

John Terry aongezewa mkataba Chelsea

Nahodha wa kilabu ya Chelsea John Terry ameongeza mkataba wake katika kilabu hiyo hadi mwisho wa msimu wa mwaka 2015-16.

 

5 years ago

Bongo5

John Terry ataondoka Chelsea mwishoni mwa msimu

Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kuwa Nahodha wao John Terry ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kumalizika.

Beki huyo ambaye ni raia wa uengereza ana umri wa miaka 36, ameichezea Chelsea mechi 713 na kufunga magoli 66 tangu ajiunge nao mwaka 1998.

Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hapo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!...

 

5 years ago

Mirror Online

John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea

John Terry gives top four verdict after Man Utd beat Chelsea  Mirror OnlineChelsea v Man United referee Anthony Taylor and VAR Chris Kavanagh are both from Manchester  GIVEMESPORTBruno Fernandes reacts to Manchester United win vs Chelsea  Sportslens.com'One of the better ones I've ever seen' - Solskjaer hails Fernandes' set piece delivery  Goal.comVideo: Mino Raiola clears up Paul Pogba situation at Manchester United  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

11 years ago

Mwananchi

Nditi aisaidia Chelsea kutwaa ubingwa

>Kiungo Mtanzania anayekipiga katika klabu ya Chelsea, Adam Nditi, ameisaidia Chelsea kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya vijana chini ya miaka 21 nchini England baada ya kuitandika Manchester United mabao 2-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani