Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi TBC aongezewa mkataba

SERIKALI imemuongezea muda wa mkataba wa miaka miwili Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana, aliyetimiza miaka 60 ya kustaafu kwa mujibu wa sheria, Machi mwaka huu....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PLUIJM AONGEZEWA MKATABA YANGA

Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm.
Na Hans MloliBAADA ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, kufanikiwa kuiongoza timu hiyo kufanya vizuri katika mechi zake kadhaa ikiwemo ya kimataifa dhidi ya BDF XI ya Botswana, hatimaye uongozi wa klabu hiyo umeamua kumuongezea mkataba.Uamuzi wa kumuongezea mkataba kocha huyo wa zamani wa Berekum Chelsea ya Ghana, ulikuja baada ya kikao cha viongozi wa Yanga kilichoketi takriban wiki moja iliyopita kwa lengo la kufanya...

 

10 years ago

BBCSwahili

John Terry aongezewa mkataba Chelsea

Nahodha wa kilabu ya Chelsea John Terry ameongeza mkataba wake katika kilabu hiyo hadi mwisho wa msimu wa mwaka 2015-16.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha Mgambo JKT aongezewa mkataba

KOCHA wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amekubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Shime aliyeichukua timu hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TBC.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muuangano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC, Clement Kiondo, wakati alipofika na ujumbe wake Ofisini kwa Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 2, 2015 kwa mazungumzo.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi ya Kombe kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC, Clement Mshana, ikiwa ni sehemu ya shukrani...

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MTENDAJI TRL ASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MALIPO KINYUME CHA MKATABA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa malipo ya Sh. Bilioni 230 ya mabehewa ya Mizigo yenye kasoro pamoja na kufanya malipo ya mabehewa yote kabla ya kukamilika.
Akitangaza maamuzi hayo ya kusimimishwa kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar es Salaam baada ya ripoti ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi (ambaye sasa ni Waziri wa Afrika Mashariki), Dk. Harrison...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa Upinzani aongezewa kifungo

Mahakama ya juu zaidi nchini Rwanda imemhukumu kiongozi wa Upinzani nchini humo Victoire Ingabire kifungo cha miaka 15.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Zanzibar aongezewa mda.

Muda wa kuhudumu wa rais wa kisiwa cha Zanzibar umeongezwa baada ya matokeo ya uchaguzi kisiwani humo kufutiliwa mbali.

 

9 years ago

GPL

MSHINDI WA BSS AONGEZEWA SH. MIL 10

:Jaji Mkuu wa Mashindano ya Bongo Star Search ‘BSS’, Ritha Poulsen ‘Madam Ritha’, akielezea mipango ya  fainali ya mashindano hayo itakavyokuwa siku ya Ijumaa Oktoba 9 mwaka huu katika Ukumbi wa  King Solomon Hall uliopo eneo la Namanga Kinondoni jijini Dar es Salaam. Mmoja wa washiriki wa shindano hilo, Nassib Fonabo, akiimba kwenye kikao hicho.… ...

 

10 years ago

GPL

Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga

Straika Mbrazil wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’. Na Goodluck Ngai
KATIKA jitihada za kumfanya awe tishio zaidi msimu ujao, benchi la ufundi la Yanga limeamua kumuongezea programu ya mazoezi straika Mbrazil, Genilson Santos ‘Jaja’. Kuonyesha kwamba Yanga haitaki mchezo, Jaja amekuwa akiendelea kufanyishwa mazoezi hata pale wenzake wanapopumzika.Yanga, juzi Jumamosi asubuhi kwenye Uwanja wa Shule ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani