Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PLUIJM AONGEZEWA MKATABA YANGA

Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm.
Na Hans MloliBAADA ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, kufanikiwa kuiongoza timu hiyo kufanya vizuri katika mechi zake kadhaa ikiwemo ya kimataifa dhidi ya BDF XI ya Botswana, hatimaye uongozi wa klabu hiyo umeamua kumuongezea mkataba.Uamuzi wa kumuongezea mkataba kocha huyo wa zamani wa Berekum Chelsea ya Ghana, ulikuja baada ya kikao cha viongozi wa Yanga kilichoketi takriban wiki moja iliyopita kwa lengo la kufanya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi TBC aongezewa mkataba

SERIKALI imemuongezea muda wa mkataba wa miaka miwili Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana, aliyetimiza miaka 60 ya kustaafu kwa mujibu wa sheria, Machi mwaka huu....

 

10 years ago

BBCSwahili

John Terry aongezewa mkataba Chelsea

Nahodha wa kilabu ya Chelsea John Terry ameongeza mkataba wake katika kilabu hiyo hadi mwisho wa msimu wa mwaka 2015-16.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha Mgambo JKT aongezewa mkataba

KOCHA wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amekubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Shime aliyeichukua timu hiyo...

 

11 years ago

GPL

Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga

Straika Mbrazil wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’. Na Goodluck Ngai
KATIKA jitihada za kumfanya awe tishio zaidi msimu ujao, benchi la ufundi la Yanga limeamua kumuongezea programu ya mazoezi straika Mbrazil, Genilson Santos ‘Jaja’. Kuonyesha kwamba Yanga haitaki mchezo, Jaja amekuwa akiendelea kufanyishwa mazoezi hata pale wenzake wanapopumzika.Yanga, juzi Jumamosi asubuhi kwenye Uwanja wa Shule ya...

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm: Yanga bingwa

KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm ashtuka Yanga

hans_clipJENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WAKATI klabu ya Yanga ikiendelea kusajili nyota wake kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo Mholanzi, Hans Van der Pluijm, amewashtukia viongozi wa timu hiyo akieleza anahisi baadhi ya wachezaji waliosajiliwa hadi sasa hakuwapendekeza katika ripoti yake.
Klabu hiyo hadi sasa imefanikiwa kupata saini za wachezaji watatu ambao ni Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City, Haji Mwinyi wa Zanzibar na Benedicto Tinoco kutoka Kagera...

 

10 years ago

Habarileo

Pluijm atoboa siri Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema siri kubwa ya kikosi chake kufanikiwa kuvunja mwiko wa kuifunga Mtibwa Sugar ilitokana na wachezaji wake kucheza kwa nidhamu ya kiufundi.

 

9 years ago

Mtanzania

11 Yanga wamshusha presha Pluijm

Hans-Van-De-PluijmNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amechekelea hatua ya kurejea kikosini kwa nyota wake waliokuwa kwenye timu za Taifa zilizoshiriki michuano ya Kombe la Chalenji nchini Ethiopia, ambapo amedai sasa ndoto ya kutetea taji la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaweza kutekelezeka.

Kurejea kwa nyota hao kumesaidia kumshusha presha Pluijm, ambaye awali alidai kuwa michuano hiyo imemtibulia mipango yake kutokana na mikakati aliyojiwekea ya kuhakikisha anawapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani