Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Refarii aliyekataa kutoa penalti afungiwa

Timu ya soka ya Trabzonspor ilimfungia refarii kwa saa kadhaa baada ya kuwanyima penalti dhidi ya mahasimu wao wa jadi Gaziantepspor

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwalimu aliyekataa uchawi sasa mbarikiwa

Benedict Daswa aliyeuawa na wanakijiji wenzake amekuwa mtu wa kwanza kutawazwa mbarikiwa eneo la kusini mwa Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyekataa tiba akisema amepoteza mng’ao afariki

Mwanamke aliyekataa matibabu ya figo kuokoa maisha yake nchini Uingereza, akisema ameshapoteza mng’ao, amefariki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Refarii alituoonea Croatia Kovac

Kocha Niko Kovac amesema kuwa Croatia ilidhulumiwa na refarii aliyeipa Brazil penalti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis akutana na karani aliyekataa ndoa za jinsia moja

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameripotiwa kukutana na Kim Daviz karani wa Kentucky ambaye alifungwa jela kwa kukataa kutoa leseni za ndoa za wapenzi wa jinsia moja,wakati wa ziara yake huko Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wawili kati ya refarii 3 hutukanwa uwanjani

Utafiti uliochapishwa majuzi umebaini kuwa asilimia kubwa ya marefarii wanaosimamia mechi kote nchini Uingereza huvumilia matusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Refarii mtajika Howard Webb ameestaafu.

Refarii mtajika Howard Webb ameestaafu baada ya kupiga kipenga kwa miaka 25.

 

9 years ago

BBCSwahili

Refarii 'mpenzi wa jinsia moja' kulipwa

Refarii mmoja nchini Uturuki aliyefutwa kazi kwa tuhuma kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la Uturuki.

 

9 years ago

Mtanzania

Refarii ‘mpenzi wa jinsia moja’ kulipwa fidia

Halil DincdagANKARA, UTURUKI

MWAMUZI mmoja nchini Uturuki, Halil Dincdag, aliyefukuzwa kazi kwa tuhuma ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la nchini humo.

Mahakama nchini Uturuki imeamuru shirikisho hilo kumlipa fidia mwamuzi huyo kiasi cha dola za Marekani 8,000 kutokana na kushinda kesi hiyo.

Dincdag amefurahia ushindi huo na kusema kuwa ni ushindi kwa watu wanaobaguliwa kijinsia hasa katika michezo nchini Uturuki.

“Sio ushindi wangu peke yangu ila ni kwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC …

January 3 ndio siku ambayo Kombe la Mapinduzi lilianza visiwani Zanzibar kwa michezo miwili kupigwa kwa nyakati mbili tofauti katika uwanja Amaan, ila mchezo wa pili wa Kundi B uliozikutanisha timu za Azam FC dhidi ya Mtibwa Sugar na kumalizika kwa sare ya goli 1-1, uliingia kwenye headlines baada ya muamuzi wa pembeni Dalila Jaffar Mtwana kunyoosha […]

The post Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani