Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawili kati ya refarii 3 hutukanwa uwanjani

Utafiti uliochapishwa majuzi umebaini kuwa asilimia kubwa ya marefarii wanaosimamia mechi kote nchini Uingereza huvumilia matusi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa

Watu wawili waliopatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 mwezi Februari mwaka jana wameuawa katika mji wa mashariki mwa Somalia wa Bosaso

 

11 years ago

BBCSwahili

Refarii alituoonea Croatia Kovac

Kocha Niko Kovac amesema kuwa Croatia ilidhulumiwa na refarii aliyeipa Brazil penalti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Refarii 'mpenzi wa jinsia moja' kulipwa

Refarii mmoja nchini Uturuki aliyefutwa kazi kwa tuhuma kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la Uturuki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Refarii mtajika Howard Webb ameestaafu.

Refarii mtajika Howard Webb ameestaafu baada ya kupiga kipenga kwa miaka 25.

 

9 years ago

BBCSwahili

Refarii aliyekataa kutoa penalti afungiwa

Timu ya soka ya Trabzonspor ilimfungia refarii kwa saa kadhaa baada ya kuwanyima penalti dhidi ya mahasimu wao wa jadi Gaziantepspor

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata silaha moja aina ya SMG yenye namba BA172288  na risasi kumi na tatu wakati wa  mapambano makali ya ana kwa ana kati ya majambazi na Jeshi la Polisi.  Aidha katika tukio hilo majambazi wawili waliuawa  kwa risasi wak ati wakijaribu kuwadhuru askari.  
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...

 

9 years ago

Mtanzania

Refarii ‘mpenzi wa jinsia moja’ kulipwa fidia

Halil DincdagANKARA, UTURUKI

MWAMUZI mmoja nchini Uturuki, Halil Dincdag, aliyefukuzwa kazi kwa tuhuma ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la nchini humo.

Mahakama nchini Uturuki imeamuru shirikisho hilo kumlipa fidia mwamuzi huyo kiasi cha dola za Marekani 8,000 kutokana na kushinda kesi hiyo.

Dincdag amefurahia ushindi huo na kusema kuwa ni ushindi kwa watu wanaobaguliwa kijinsia hasa katika michezo nchini Uturuki.

“Sio ushindi wangu peke yangu ila ni kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion afunga ndoa

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion  akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam
Ally Bakari Champion akiozeshwa
Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani