Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani wamgomea DC

Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Babati mkoani Manyara, wamemgomea Mkuu wa Wilaya hiyo, Crispin Meela kulihutubia baraza hilo wakidai amekuwa na tabia ya kumnyima ushirikiano Mbunge wa jimbo hilo, Pauline Gekul.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wamgomea Kikwete

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana waligoma mbele ya Rais Jakaya Kikwete kuruhusu wajumbe wao kurejea katika Bunge Maalumu la Katiba, walipokutana katika kikao cha kusaka suluhu ya mkwamo wa mchakato wa Katiba.

 

11 years ago

GPL

Henry, Berko wamgomea Logarusic

Na John Joseph, Tanga WACHEZAJI wakongwe wa Simba, Henry Joseph na Yaw Berko, jana walisusa kwenda kwenye vyumba baada ya kipenga cha mapumziko kupulizwa. Wachezaji hao ambao wote hawakuanza kwenye mchezo dhidi ya Mgambo ambao timu yao ililala kwa bao 1-0, waligoma kwenda kwenye vyumba kama inavyotakiwa huku wakibaki wamekaa kwenye benchi wakilalamika. Wachezaji hao walionyesha kuwa kuna hali ya mambo ambayo haiendi vizuri kwenye...

 

11 years ago

Mtanzania

Ukawa wamgomea Samuel Sitta

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

WAJUMBE wa Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalumu la Katiba wamekutana jana kwa ajili ya kujadili hatima ya Bunge hilo linalotarajiwa kukutana Agosti 5, mwaka huu.

Kamati hiyo imekutana bila ya kuwepo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao pia ni wajumbe wa kamati hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wa CCM wamgomea Waziri Mkuu Pinda

>Wabunge wa CCM jana mchana walimgomea Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge (Party Cocas) ya chama hicho, Mizengo Pinda na kushinikiza mawaziri watatu ambao wizara zao zimetajwa kushindwa kusimamia vyema Operesheni Tokomeza Ujangili wajiuzulu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani