Oprah awatetea The Kardashians, asema watu wasidharau wanachokifanya wakidhani ni rahisi
Kwa macho ya watu wengi, The Kardashians ni watu waliopata umaarufu na utajiri kwa njia za mkato.
Oprah Winfrey ana mtazamo tofauti. Mtangazaji huyo maarufu wa TV na mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani, amedai kuwa The Kardashians ni watu wanaofanya kazi kwa bidii na kujituma kuliko kawaida.
Akiongea kwenye kipindi cha Kyle and Jackie O Show cha KIIS FM nchini Australia, Jumatatu hii, Oprah alisema aliitembelea familia hiyo na kushangazwa na nidhamu yao ya kazi.
“Niliwahoji miaka miwili...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-97HxmTydtV8/U9vVfT8-6oI/AAAAAAAAPtM/z5vc4e5pEvY/s72-c/1.jpg)
wanachokifanya UKAWA ni Usanii usiokuwa na tija kwa Taifa - Nape
![](http://2.bp.blogspot.com/-97HxmTydtV8/U9vVfT8-6oI/AAAAAAAAPtM/z5vc4e5pEvY/s1600/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania, akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.
CCM yawaomba wabunge...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURCu8UDRCvAG96lI7aZoXOpVtB56ZJnOerYJ5TLS6upUpikECerxbELOCimGdH-zZqwNMMsXUZA-TzCMKaKVagu/lulu.jpg?width=650)
LULU AWATETEA MABOSI WAKWARE
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kimiti awatetea Ukawa lakini...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
11 years ago
BBCSwahili06 May
Al Sisi asema watu wataka kumwua Misri
11 years ago
Bongo517 Jul
Martin Kadinda adai kukutana na changamoto ya wanaume wanaomtaka kimapenzi wakidhani ni shoga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VbvHliDwf9Y/XvCLcoqzc7I/AAAAAAALu6c/lldVMfArMtQUMaBhkjrr1kLtpuN8B0ZtACLcBGAsYHQ/s72-c/18.jpg)
RAIS MAGUFULI ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIONGOZI WA SERIKALI WANAOTAKA KUGOMBEA UBUNGE WAKIDHANI WATAKUWA MAWAZIRI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
RAIS Dk.John Magufuli amepeleka salamu kwa baadhi ya viongozi wa kada mbalimbali wanaodhani wakiachana nafasi zao na kwenda kugombea ubunge wakishinda atawateuwa katika Baraza la Mawaziri wajue wanajidanganya.
Ameyasema hayo leo Juni 22,2020 Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta , Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi, Mkuu wa Wilaya ya Monduli Edward Balele ,Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa,Mkurugenzi wa Jiji...
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet09 Apr
The Kardashians Self-Isolated While Their Employees Kept Working & Fans Were Furious