wanachokifanya UKAWA ni Usanii usiokuwa na tija kwa Taifa - Nape
![](http://2.bp.blogspot.com/-97HxmTydtV8/U9vVfT8-6oI/AAAAAAAAPtM/z5vc4e5pEvY/s72-c/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania, akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.
CCM yawaomba wabunge...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mifumo ya biashara ya Jotoardhi ina tija kwa taifa
Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madin, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2- 4 Septemba, 2015 jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Kituo cha kulea tembo yatima kina tija kwa Taifa?
11 years ago
Dewji Blog02 Aug
CCM yastukia usanii wa UKAWA
Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania,akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.
CCM yawaomba wabunge wa bunge la...
9 years ago
Michuzi09 Sep
JKT KUBORESHA MAZINGIRA YA MAFUNZO ILI YAWE NA TIJA ZAIDI KWA WAHITIMU NA TAIFA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/EemPD693G77rcyCGEELaU_cQO0MHW_JK3VXtH_ewkVxWsTwUaXGQp-pDsKQwDjaQjWg9r2G2x2k13BCEN93n=s0-d-e1-ft#http://www.itv.co.tz/media/image/JKT8.jpg)
Jeshi la kujenga taifa JKT limesema linaendelea na harakati za kuboresha mazingira ya mafunzo kwa vijana wa mujibu wa sheria na wale wa kujitolea ikiwa ni pamoja na kuimarisha miundombinu na upatikanaji wa vifaa vya mafunzo vinavyojumuisha sare pamoja na viatu ili kuyafanya mafunzo hayo kuwa bora na yenye kuwajenga vijana katika moyo wa uzalendo kwa nchi yao.
Mkuu wa jeshi la kujenga taifa JKT.Meja Jenerali Raphael Muhunga amesema hayo wakati akifunga mafunzo ya JKT kwa vijana wa mujibu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SgLj6d6oR2s/VHxDEtTqHuI/AAAAAAAAq1k/TePWrLskNm4/s72-c/10533122_599692773491008_719688768534374343_n.jpg)
USANII SIYO KUIGIZA AU KUIMBA HATA HUU NI USANII PIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-SgLj6d6oR2s/VHxDEtTqHuI/AAAAAAAAq1k/TePWrLskNm4/s1600/10533122_599692773491008_719688768534374343_n.jpg)
9 years ago
Michuzi03 Sep
MWIGULU NCHEMBA ALIPUA UKAWA KWA KUNUKUU MANENO YA BABA WA TAIFA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/b4MYzsjA-KTjQMAT7zVz6YzpB-8FE99eMNIgDlsKbH-9PHP6uGDEi8bIyUnwXkNKCsOC_vZYZIO4fFqZY6UcLxWa_hjRsoe2GaTtIXjSHzlJxpk63aFvtCPBPC-H8qc24mPsvVFSxKXgXRcdj3KsXBeLxMb69-XIrciagYjAxlXk98MvBYODX7wuDqvyRi0mDGHw1QETfY2z0zarw033njbDDcHGbZFRRzaomFTO8I1LYt9P=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11947676_423169441218623_4148583794825625009_n.jpg?oh=0f84ba486afb78f84eb33a4d8c716610&oe=56714DA1)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/5aO5foSfu9HkgsKO8oyvyrr4Btg8Gwj-MOZH-T5or0tM6Z6OogJ1TgkVC2hAWK8VR6lkl8-tUGGkfgmSWu93XlVmvIGJvkcosrfGZx7N8JUccQzy6xPSW0I5O7zH5BgtFyVB9qcYpsL5VWz0XfwDjgLxzNDqNbGfJJP8OM0f4oX97Quw9E2Q5Q59mLj0wsGRiHQhLzysZLvAXkbcX7wUX3Cn1o4UHcZOlacpe3vPWDXFj3Ck=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11937942_423169661218601_1676314127316112351_n.jpg?oh=81222d521cbdbc9496855651a7eab523&oe=5660B2E5)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7tSNiwuTXBokTeFm-Fg4nAMIFQ_z0lIKw4S-2d5R6E4MUr7q1chVm7XS_OH01jMCOKxipDI95xb11gsuTXd8k4c8wm6X30HBMdUx5su7ceow68YLIshRZSUDLVrBk3w1eD8swnFj3m5d3H1vyXubdmwhmr9uNnwjfwjZtUACSMkO9tH4Isq7Xor20pjXo913ITw5xEMNqH0Kk4IUxUt5n9KrIOlczgENrFIbmautFy8izVPV=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11953037_423169527885281_6387678350303757731_n.jpg?oh=32268e6a0d9b6d80fc5d47947bdc4ae5&oe=5666F7FD)
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Nape abeza Ukawa kuungana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-GpYkN3Titjg/U84AubOpSdI/AAAAAAAABZ4/gvMy_LeS2No/s72-c/1.+Nape+akihutubia+mkutano+wa+kampeni+a+uchaguzi+mdogo+wa+Udiwani+Kata+ya+Bugarama,+Kahama+mkoani+Shinyanga.jpg)
Nape: UKAWA inafanya uzushi
Asema Tume ya Katiba haikuwa ya mwisho Awataja pia Mbowe, Tundu Lissu na Jussa
Na Charles Charles
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetaka wananchi kujihadhari na uzushi, uongo na upotoshaji unaofanywa na genge linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kutaka mchakato wa Katiba mpya ukwame.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema genge hilo linafanya hivyo kutokana na uchu wa madaraka walionao viongozi...
10 years ago
Uhuru NewspaperNape awarushia kombora UKAWA
NA MWANDISHI WETUMCHAKATO wa Katiba Mpya umeendelea kutumika kama kichaka cha kuzuia vuguvugu la mabadiliko katika vyama vya upinzani nchini.