MWIGULU NCHEMBA ALIPUA UKAWA KWA KUNUKUU MANENO YA BABA WA TAIFA
Mwigulu Nchemba akiwasili eneo la Mkutano nje kidogo na Mji wa Babati hii leo alipofika kwaajili ya Mkutano wa kampeni wa kuinadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2015.Pia kuwanadi wagombea Udiwani na Ubunge kwa Babati Mjini.
Kutoka Kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Manyara Ndg.Ndekubali,Katikani ni Mwigulu Nchemba na Mwisho kulia ni Mh.Chambili ambaye ni Mgombea Ubunge Jimbo la Babati Mjini.
Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa Babati hii leo,Katika hotuba yake amesisitiza Wananchi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Mwigulu Nchemba awashukia wapinzani wanaotumia hotuba za Baba wa Taifa kwa mtaji wa kisiasa
Mwigulu Nchemba akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Nkungi, wilayani Mkalama (Picha ya Maktaba yetu)
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..
Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]
The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VIBt_u8-KOQ/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HRTez0bJclA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Sep
FRELIMO WATUA NCHI TANZANIA NA KUKUTANA NA UONGOZI WA CCM TAIFA,MWIGULU NCHEMBA AZUNGUMZA NAO
![](https://scontent-b-fra.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10703749_296987587170143_7867035330298045379_n.jpg?oh=e120582ed182ff65411707c6981c1581&oe=5492F3F9)
![](https://scontent-b-fra.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10422370_296987723836796_2636631546379702589_n.jpg?oh=8a48f295973479ba35c93359073b6902&oe=5495D04A)
10 years ago
Dewji Blog25 May
VIDEO: Nape akitangaza kujiuzulu kwa Mwigulu Nchemba
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, (Itikadi na Uenezi), Nape Nnauye.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cvP3R1Uz9I8/Vb0G-TEbTzI/AAAAAAAHtI0/TxwNhhSafvs/s72-c/SAM_0116.jpg)
Mwigulu Nchemba Ashinda kwa 99% kura za maoni Ubunge jimbo la Iramba
![](http://1.bp.blogspot.com/-cvP3R1Uz9I8/Vb0G-TEbTzI/AAAAAAAHtI0/TxwNhhSafvs/s400/SAM_0116.jpg)
Masimba Mwigulu 88Jairo 1Kilimba 0Amon 0
MlandalaMwigulu 50Jairo 0Kilimba 3Amon0
Mang'ole Mwigulu 173Jairo 6Kilimba 0Amon 0
MSAIMwigulu 294Jairo 35Kilimba 59
MALUGAMwigulu 322Kilimba 5Jailo 0
UWANZAMwigulu 172Jairo 8Kirimba 23Amon 2
Nganguri
Mwigulu 727kilimba 2jairo 2Amon 0Mwigulu kashinda
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Wamtaka Katibu wa CCM kuacha kumbeba kwa mbeleko Mwigulu Nchemba
Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida David Jairo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya madai yao ya kugomea kuendelea na mchakato wa kura za maoni hadi msimamizi wa uchaguzi ambae ni Katibu wa CCM Wilaya ya Iramba, Mathias Shidagisha aondolewe kwenye zoezi hilo, kushoto ni Amon Gyunda.
Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida, Juma Killimbah, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ofisi za chama cha...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ATIKISA MKOA WA MOROGORO WOTE KWA SIKU MOJA
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10343652_852402731488466_2053699398230832802_n.jpg?oh=10ba970fd714f8ed65ed1d7d59826238&oe=55275E7B)
![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/l/t1.0-9/10933910_852403461488393_8420251617100430927_n.jpg?oh=e0dc63b9e4def5a0cb17896cb5147058&oe=55635DCD)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10943721_852402551488484_7052952236107455201_n.jpg?oh=fa710dc77ddbb19d56fcdf46a37038b0&oe=5526B1C1&__gda__=1432953160_896f107a136ab066be82c9ca621b9b0c)