Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yastukia usanii wa UKAWA

1

Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania,akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa  NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia  UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.

CCM yawaomba wabunge wa bunge la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USANII SIYO KUIGIZA AU KUIMBA HATA HUU NI USANII PIA

Pitia  hii labda na wewe utaipenda jamaa alituliza kichwa na kuibuka na hii apewe hongera yake kiroho safi.

 

11 years ago

Michuzi

wanachokifanya UKAWA ni Usanii usiokuwa na tija kwa Taifa - Nape


     Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania, akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia  UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.

     CCM yawaomba wabunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Dodoma ni usanii na utalii tu !!!

>Februari 18 mwaka huu  Bunge Maalumu la Katiba lilianza mjini Dodoma, likiwa na kazi kubwa ya kuipitia Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa lengo la kuiboresha na kuipitisha, kabla wananchi hawajaipigia kura kuikubali au kuikataa.

 

9 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Usanii si sanaa

Mimi ni msanii. Hapana, jamani, mimi siyo mtangazania, mtiania, mbwiania, mfiania, sina nia ya ya kuwania au kubania nia za wengine. Ni msanii mpenzi wa sanaa. Bahati mbaya nafasi zetu za sanaa zimevamiwa na makanjanja wa sanaa ambao wanajiita wanasiasa eti siasa ni usanii. Siasa si usanii halali ingawa siasa na sanaa mara nyingi wanalala kitanda kimoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chashtukia usanii wa Nyaranduu

MPEMBA  anaingia na Newspaper ya Danganyika Always. Kama ada, anaamkua na kuagiza kahawa tayari kushiriki kikao. Anaonekana kuwa na jambo linalomkera. Anaanza, “Wallahi hii kaya mie yanshida.  Mmensikia huyo mjivuni...

 

11 years ago

GPL

STEVE: KAMA SI USANII NINGEKUWA MAHAKAMANI

Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Stori: Imelda Mtema
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kama asingekuwa msanii basi angekuwa mfanyakazi wa mahakama. Akistorisha na paparazi wetu juzikati, Steve Nyerere alisema kuwa kila msanii anatakiwa kujiuliza kama siyo kazi ya usanii angekuwa anafanya kazi gani lakini kwa upande wake yeye angekuwa mfanyakazi wa mahakama kwani anaipenda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chidi Benzi: Wadau wanashusha usanii

MKALI wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Makwilo ‘Chidi Benzi’, amesema tatizo la baadhi ya wadau wa muziki kutengeneza wasanii wao, kunawafanya wasanii wenye vipaji kukosa nafasi. Akizungumza jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dully Sykes ajivunia miaka 15 ya usanii

BAADA ya kutimiza miaka 15 katika tasnia ya muziki ya Bongo Fleva, msanii Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ anatarajia kufungua studio ya kufanya kazi za ‘live’ na matangazo ikiwa ni hatua...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ali Kiba asimulia maisha yake ya usanii

Ali Kiba ni miongoni mwa wasanii maarufu sana kutoka Tanzania ambaye amewika si nchini humo tu bali Afrika Mashariki na nje ya mipaka ya Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani