Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chidi Benzi: Wadau wanashusha usanii

MKALI wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Makwilo ‘Chidi Benzi’, amesema tatizo la baadhi ya wadau wa muziki kutengeneza wasanii wao, kunawafanya wasanii wenye vipaji kukosa nafasi. Akizungumza jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USANII SIYO KUIGIZA AU KUIMBA HATA HUU NI USANII PIA

Pitia  hii labda na wewe utaipenda jamaa alituliza kichwa na kuibuka na hii apewe hongera yake kiroho safi.

 

10 years ago

GPL

CHID BENZI AKIRI KULIA STUDIO

Stori: Mwandishi Wetu
RAPA mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz, amekiri kutoa machozi wakati wa mahojiano redioni baada ya kupatwa na hisia kali, akikumbuka mambo mbalimbali ya maisha. Rapa mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz (kushoto) akiwa na 'Diamond'.
“Nilikuwa namzungumzia Diamond, alinikumbusha mambo mengi, ni mchapakazi, anajituma...

 

10 years ago

GPL

KESI YA CHID BENZI YAAHIRISHWA HADI DESEMBA MOSI

Chid Benz (kushoto mwenye shati la bluu) akiingia katika lango la mahakama. ...Akiingia katika chumba cha kusikiliza kesi inayomkabili.…

 

10 years ago

Michuzi

CHEDI BENZI AKOSA DHAMANA, KUSOTA SEGEREA HADI NOVEMBA 11, 2014

 Msanii wa Hip Hop, Rshid Makwiro ‘Chidi Benzi’ akisindikizwa na askari Polisi wakati akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini leo Dar es Salaam kujibu mashtaka matatu likiwemo la kukutwa na dawa za kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Msanii wa Hip Hop, Rshid Makwiro ‘Chidi Benzi’ akiingia Mahakamani leo. Chidi Benzi akiwa chini ya ulinzi wa askari Polisi.
Msanii wa Hip Hop, Rshid Makwiro ‘Chidi...

 

11 years ago

Mwananchi

Dodoma ni usanii na utalii tu !!!

>Februari 18 mwaka huu  Bunge Maalumu la Katiba lilianza mjini Dodoma, likiwa na kazi kubwa ya kuipitia Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa lengo la kuiboresha na kuipitisha, kabla wananchi hawajaipigia kura kuikubali au kuikataa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chashtukia usanii wa Nyaranduu

MPEMBA  anaingia na Newspaper ya Danganyika Always. Kama ada, anaamkua na kuagiza kahawa tayari kushiriki kikao. Anaonekana kuwa na jambo linalomkera. Anaanza, “Wallahi hii kaya mie yanshida.  Mmensikia huyo mjivuni...

 

11 years ago

Dewji Blog

CCM yastukia usanii wa UKAWA

1

Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania,akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa  NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia  UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.

CCM yawaomba wabunge wa bunge la...

 

9 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Usanii si sanaa

Mimi ni msanii. Hapana, jamani, mimi siyo mtangazania, mtiania, mbwiania, mfiania, sina nia ya ya kuwania au kubania nia za wengine. Ni msanii mpenzi wa sanaa. Bahati mbaya nafasi zetu za sanaa zimevamiwa na makanjanja wa sanaa ambao wanajiita wanasiasa eti siasa ni usanii. Siasa si usanii halali ingawa siasa na sanaa mara nyingi wanalala kitanda kimoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani