CHID BENZI AKIRI KULIA STUDIO
![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd662ISbDQKxNo4VTR19CKMaVw3VYyin94jR9RGeOZWqqz*SiuB*MWA5pJlrCEe9*ZX7USJn6znjtg8M0oHUk8XrJV/chid.jpg?width=650)
Stori: Mwandishi Wetu RAPA mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz, amekiri kutoa machozi wakati wa mahojiano redioni baada ya kupatwa na hisia kali, akikumbuka mambo mbalimbali ya maisha. Rapa mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz (kushoto) akiwa na 'Diamond'. “Nilikuwa namzungumzia Diamond, alinikumbusha mambo mengi, ni mchapakazi, anajituma...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKESI YA CHID BENZI YAAHIRISHWA HADI DESEMBA MOSI
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Chid Benz sasa akiri kosa mahakamani
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lb-MEivIk0Q/VOSGC_k3bEI/AAAAAAAHEWs/ELJLS65zjik/s72-c/chid%2Bclip.jpg)
MSANII CHID BENZ AKIRI MASHITAKA YAKE MAHAKAMANI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-lb-MEivIk0Q/VOSGC_k3bEI/AAAAAAAHEWs/ELJLS65zjik/s1600/chid%2Bclip.jpg)
Chid Benz alikiri mashitaka hayo baada ya kusomewa upya hati yake ya mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande Lema.
Hakimu Lema alisema kwa kuwa mshtakiwa amekiri mashitaka yake mahakama yake...
10 years ago
GPLMWANAMUZIKI CHID BENZ AKIRI MASHITAKA YAKE MATATU MAHAKAMANI LEO
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...
10 years ago
GPLFARHIA MIDDLE AKIRI KUTWANGANA STUDIO
10 years ago
Bongo507 Nov
Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Chidi Benzi: Wadau wanashusha usanii
MKALI wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Makwilo ‘Chidi Benzi’, amesema tatizo la baadhi ya wadau wa muziki kutengeneza wasanii wao, kunawafanya wasanii wenye vipaji kukosa nafasi. Akizungumza jijini...