Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FARHIA MIDDLE AKIRI KUTWANGANA STUDIO

Mtangazaji wa Redio One na ITV, Farhia Middle. Brighton Masalu
IMEVUJA! Mtangazaji wa Redio One na ITV, Farhia Middle, amewahi kuzitwanga laivu akiwa hewani.
Farhia alifungukia ishu hiyo alipoulizwa na mwanahabari wetu kwamba ni tukio gani lililomtokea kazini ambalo hatalisahau ndipo alipoweka bayana kuwa tukio hilo lilitokea mwaka 2011 wakati alipokuwa anaitumikia Redio ORS ya Simanjiro, Manyara baada ya mtangazaji mwenzake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FARHIA MIDDLE AKIRI KULIZWA NA MAPENZI

Mtangazaji wa ITV / Radio One, Farhia Middle. Brighton Masalu
MTANGAZAJI wa ITV / Radio One, Farhia Middle amesema tangu aujue ulimwengu wa mapenzi hajawahi kukutana na mwanaume mwaminifu na kwamba kila mara amekuwa akilizwa na mapenzi jambo ambalo husababisha kujiona mwenye mkosi. Akipiga stori na gazeti hili hivi karibuni, mtangazaji huyo alisema licha ya baadhi ya watu kumsifia kuwa ni mrembo kwa sura na umbo, lakini amekuwa...

 

11 years ago

GPL

CHID BENZI AKIRI KULIA STUDIO

Stori: Mwandishi Wetu
RAPA mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz, amekiri kutoa machozi wakati wa mahojiano redioni baada ya kupatwa na hisia kali, akikumbuka mambo mbalimbali ya maisha. Rapa mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz (kushoto) akiwa na 'Diamond'.
“Nilikuwa namzungumzia Diamond, alinikumbusha mambo mengi, ni mchapakazi, anajituma...

 

11 years ago

GPL

KARAMA NYILAWILA KUTWANGANA NA SAID MBELWA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO utakaofanyika Mei  24 mwaka huu katika ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST, Anthony Rutta. (Picha na Super D)

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014: WABUNGE KUTWANGANA ‘LIVE’

AGOSTI 8, mwaka huu Uwanja wa Taifa patakuwa hapatoshi kwani Watanzania watashuhudia matukio makubwa ya burudani kupitia Tamasha la Usiku wa Matumaini. Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba. Miongoni mwa matukio hayo ni ndondi za waheshimiwa wabunge ambapo mbunge wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala atakazichapa ‘kavukavu’ na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba. Akizungumza na Mikito Nusunusu, Mratibu wa...

 

10 years ago

CloudsFM

Q-Chillah,TID wataka kutwangana kisa,ngoma mpya ya Ali Kiba

Mastaa wa Bongo Fleva,Q-Chillah na TID mwishoni mwa wiki hii walitaka kutwangana walipokutana katika Klabu moja usiku.Kwa mujibu wa Q-Chillah akizungumza kwenye Uheard na Soudy Brown alisema kuwa alikwenda kwenye klabu hiyo kuangalia shoo iliyokuwa ikifanyika kwenye lakini baadaye aliamua kutoka nje kucheza ‘pool table’ ndipo alipomuona TID.

‘’Nilimuona jamaa(TID) akiniangalia na baadaye alinifuata akaniambia kuwa anataka kuongea na mimi nikamwambia ile siye sehemu yake atafute muda mwingine...

 

10 years ago

Vijimambo

MABONDIA WAPIMA UZITO KUTWANGANA KESHO PANANDI PANANDI ILALA BUNGONI

Bondia Raymond Mbwago kutoka katika Super d Boxing Clab ya Uhuru Kariakoo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wa kesho katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala kulia niu msimamizi kutoka katika kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Ally Bakari Bondia Salim Mponda akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kesho utakaofanyika katikas ukumbi wa panandi panandi ilala bungoni kulia ni Alli Bakari Champion ambaye ni msimamizi kutoka kamisheni ya ngumi TPBC Bondia Ramadhani Maonya kutoka Super...

 

11 years ago

TheCitizen

Too much sleep in middle age is as bad for you as too little

Sleeping too much in middle age can be just as bad for you as not having enough, it emerged yesterday.

 

10 years ago

Income Country By 2025'

'Tanzania focused to morph into middle


'Tanzania focused to morph into middle-income country by 2025'
IPPmedia
Zanzibar's second Vice President, Seif Ali Iddi has reiterated that Tanzania has its vision set high to graduate to a middle-income country by 2025. Iddi was speaking at the opening of a three-day International Conference on Social Protection which began in ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani