Q-Chillah,TID wataka kutwangana kisa,ngoma mpya ya Ali Kiba
Mastaa wa Bongo Fleva,Q-Chillah na TID mwishoni mwa wiki hii walitaka kutwangana walipokutana katika Klabu moja usiku.
Kwa mujibu wa Q-Chillah akizungumza kwenye Uheard na Soudy Brown alisema kuwa alikwenda kwenye klabu hiyo kuangalia shoo iliyokuwa ikifanyika kwenye lakini baadaye aliamua kutoka nje kucheza ‘pool table’ ndipo alipomuona TID.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ad6JMhXqtNY68QvJZldrKqCqzkV8Dfmze21JOE6SePNOKDbeQkrtRSfDuyulL-lfNJvGBml54WDBC-ZEVsdxtj-/d.jpg?width=650)
WEMA AZUA TIMBWILI KISA ALI KIBA
Na Musa Mateja/Risasi Mchanganyiko
BOSS Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amesababisha timbwili la aina yake hivi karibuni, akidaiwa kuwa kwenye harakati za kutaka kukaa karibu na staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’, Risasi Mchanganyiko limesheheni mchapo kamili. Boss Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6CAtYfV7X2FNLrPrey3-zmKGvsVLWYGHC7wW0BjggcUNkM*FbWDHUNM-apGwzti-lZw2OnmNcg7gz7Ozcqn2ml/miss.jpg?width=650)
MISS TANGA ATAKA KUZICHAPA KISA ALI KIBA
Stori: Jamila Said
MISS Tanga 2011, Zubeida Seif ametaka kuzichapa kavukavu na mwenzake aliyefahamika kwa jina moja la Kelly kisa kikiwa ni mkali wa wimbo wa Mwana, Ali Saleh Kiba. Miss Tanga 2011, Zubeida Seif. Tukio hilo lililoacha watu midomo wazi lilitokea juzikati katika baa moja iliyopo maeneo ya Mwenge, Dar ambapo ubishi ulianza baada ya Zubeydah kutetea kuwa Ali Kiba anajua kuimba kuliko Nasibu Abdul...
10 years ago
Bongo512 Feb
Dully Sykes: Sishangai ugomvi wa Alikiba na Diamond, nashangaa wa TID na Q Chillah
Dully Sykes amedai kushangazwa kusikia watu wazima kama TID na Q Chillah wakilumbana kwa jambo la miaka mingi iliyopita na kwamba mambo kama hayo wanapaswa kuwaachia wadogo zao mathalan Alikiba na Diamond. Dully ameiambia Bongo5 kuwa TID na Q wamemfedhehesha. “Hawa ni watu wazima,” amesema Dully. “Mimi kama kuwazungumzia ninawazungumzia Diamond na Alikiba. Hawa ni […]
9 years ago
Bongo514 Aug
Tid na Q Chillah wamaliza tofauti zao, waahidi kuja na album ya pamoja
Habari njema kwa mashabiki wa muziki Tanzania ni kuwa hatimaye wanamuziki nguli wa Bongo fleva, Aboubakar Shaaban Katwila a.k.a Q-Chillah na Khalid Mohamed a.k.a Tid Mnyama wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu. Tid na Q Chief walipokuwa kwenye kipindi cha XXL Wasanii hao ambao waliwahi kufanya kazi pamoja katika Top Band ya Tid kabla […]
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-AukNDu2iY-8/ViEYSqtCE8I/AAAAAAAEBhQ/uLbyE7U9AQk/s72-c/2alikiba-1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFs68z8qSVYtQ6VJJcAy*51*CntTAsyoxa-N*Ew0Mwe20aJ-kUidSW5GNEcvuLOl1*wg-XQLLCh*agexb2OL3gB/lulu.png?width=650)
ALICHOKISEMA LULU BAADA YA ALI KIBA KUACHIA NYIMBO MPYA
Elizabeth Michael 'Lulu'. Kupitia Account yake ya Instagram msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' amefunguka kuhusiana na Ali Kiba kuachia nyimbo mbili kwa mpigo. Muonekano wa alichokisema Elizabeth Michael 'Lulu' Instagram. Hiki ndicho alichokisema: "Haya sasa.....maelezo hatimaye…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania