KARAMA NYILAWILA KUTWANGANA NA SAID MBELWA MEI 24, 2014
Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO utakaofanyika Mei 24 mwaka huu katika ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST, Anthony Rutta. (Picha na Super D)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 May
MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014
11 years ago
Mwananchi26 May
Mbelwa amtupa Nyilawila
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa
BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o-iN*f1vZmSo8IhAOA5NH7mHVe9-kkTWIXVhGEaq8P0Z6S5fo*JmgLxqTYcThpQFB4bIAOsFe8y80knSDIrH1x/pambanooo.jpg?width=650)
Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala
11 years ago
Michuzi21 Feb
KALAMA NYILAWILA ASAINI MKATABA WA KUCHEZA NA BINGWA KATI YA MASHALI AU KASEBA MEI MOSI
Bondia Kalama Nyilawila ameingia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XggU-rai6S139sT1PrtRCfSqrlnd45aIbxUdl78SQpeOiNnvoLy*2gQUasvYXVu3I6ahyaTdEWz2tS979QuFUavo/89risasijumamosi.gif?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014: WABUNGE KUTWANGANA ‘LIVE’