Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa
BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 May
Mbelwa amtupa Nyilawila
Bondia Said Mbelwa amesema aliamua kuanzisha vurugu na kumbeba mpinzani wake Karama Nyilawila kisha kumtupa nje ya ulingo katika pambano lao la juzi la ubingwa wa Dunia wa UBO baada ya kuona dalili za kuhujumiwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o-iN*f1vZmSo8IhAOA5NH7mHVe9-kkTWIXVhGEaq8P0Z6S5fo*JmgLxqTYcThpQFB4bIAOsFe8y80knSDIrH1x/pambanooo.jpg?width=650)
Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala
Konde Mbelwa akiwa chini baada ya kipigo kutoka kwa Karama Nyirawila hayupo pichani . Na Richard Bukos
PAMBANO la ndondi kugombea mkanda wa ubingwa wa UBO, kati ya bondia Kalama Nyilawila na Said Mbelwa lililofanyika usiku wa kuamkia jana Jumapili kwenye Ukumbi wa Friends Corner Hotel, Manzese jijini Dar es Salaam, lilikatishwa kutokana na… ...
11 years ago
GPLKARAMA NYILAWILA KUTWANGANA NA SAID MBELWA MEI 24, 2014
Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO utakaofanyika Mei 24 mwaka huu katika ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST, Anthony Rutta. (Picha na Super D)
11 years ago
Michuzi14 May
MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FsvKJD8qlCo/VHWn4FVl7bI/AAAAAAAGzgU/hJj2tzTI8Fw/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Bondia Zumba Kukwe ataka kuzichapa na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila
![](http://4.bp.blogspot.com/-FsvKJD8qlCo/VHWn4FVl7bI/AAAAAAAGzgU/hJj2tzTI8Fw/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
BONDIA Zumba Kukwe wa Maili Moja wilayani Kibaha Mkoani Pwani ambaye leo anapambana na bondia Sweet Kalulu amesema kuwa lengo lake kubwa ni kupambana na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Kibaha wakati wakipima uzito na kupima afya kwenye...
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.
Bondia wa Tanzania Karama Nyilawila mwakani ,anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na bondia mmalawi Frank Mwamaso
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Mbelwa: PST wanabahatisha
BAADA ya Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), kumfungia bondia Said Mbelwa kwa miezi sita kucheza pambano lolote ndani ya nchi, amesema uongozi huo unabahatisha, kwani anaamini yeye ndio...
10 years ago
TheCitizen21 Jun
World title in sight for boxer Nyilawila
Evander Tanzania’s boxing sensation Karama Nyilawila has always been a winner. And the gifted boxer has vowed he won’t have a different mentality when he takes on Germany’s Denis Liebau on June 28.
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Nyilawila: Safari yangu Czech ilikuwa ngumu
“Sitaisahau safari yangu ya Jamhuri ya Czech niliyokwenda kucheza pambano la ubingwa wa dunia la WBF, ilikuwa safari ngumu kwangu, nikiwa kwenye ndege muda mwingi niliutumia kuwaza nitachezaje bila kuwa na kocha wa kunisaidia ulingoni?,†ndivyo anaanza kusimulia bondia namba mbili nchini wa uzani wa super middle, Karama Nyilawila.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania