Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.

Bondia wa Tanzania Karama Nyilawila mwakani ,anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na bondia mmalawi Frank Mwamaso

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KARAMA NYILAWILA KUTWANGANA NA SAID MBELWA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO utakaofanyika Mei  24 mwaka huu katika ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST, Anthony Rutta. (Picha na Super D)

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO ifikapo Mei  24 mwaka huu  katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam. katikati ni katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST Anthony Rutta. Picha na Duper D

 

11 years ago

GPL

KALAMA NYILAWILA KUMVAA IBRAHIMU MAOKOLA DESEMBA 31 MSASANI KLABU

Kalama Nyilawila akijifua tayari kwa kumkabili Ibrahimu Maokola Desemba 31 mwaka huu katika Ukumbi wa Msasani Klabu, jijini Dar. Msimamizi wa mchezo wa ngumi katika kambi iliyopo Sinza-Makaburini, Dar Bernald Lumbila (kushoto) akimwelekeza bondia Kalama Nyilawila jinsi…

 

11 years ago

Mwananchi

Mbelwa amtupa Nyilawila

Bondia Said Mbelwa amesema aliamua kuanzisha vurugu na kumbeba mpinzani wake Karama Nyilawila kisha kumtupa nje ya ulingo katika pambano lao la juzi la ubingwa wa Dunia wa UBO baada ya kuona dalili za kuhujumiwa.

 

10 years ago

GPL

ISABELA, KARAMA WAMWAGANA

Na Gladness Mallya/Amani WALE wasanii waliodumu kwenye uhusiano wa kimapenzi muda mrefu, Isabela Mpanda na Luteni Karama hatimaye wamemwagana rasmi kutokana na kile kilichodaiwa ni kushindwana tabia. Isabela Mpanda akiwa na Luteni Karama. Akipiga stori na paparazi wetu, Isabela alisema ameamua kummwaga Karama kwa sababu ameshamfumania kwa njia ya meseji za wanawake zaidi ya mara tatu kwenye simu yake ya mkononi pia amegundua...

 

10 years ago

GPL

KARAMA: ISABELA NI MSALABA WANGU

Stori: Imelda Mtema
MKONGWE wa Bongo Fleva na mwanachama wa kundi la Gangwe Mob, Luteni Karama ambaye ni mchumba wa aliyekuwa Miss Ruvuma miaka ya nyuma, Isabela Mpanda, amekiri kuwa bibie huyo ni msalaba wake, hivyo hata amkosee kiasi gani, hatamuacha. Aliyekuwa Miss Ruvuma miaka ya nyuma, Isabela Mpanda akipozi. “Mimi nimeshakubali kuwa Bela ni msalaba wangu na ndiyo maana hata kama ananikosea vipi au mimi namkosea,...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA ISABELA KARAMA YABUMA

Story:Mayasa Mariwata
MSANII wa muziki Bongo, Isabela Mpanda amesema kuwa anasikitika kuona mwaka umeisha mipango yake ya kufunga pingu za maisha na mwandani wake wa siku nyingi Luten Karama imegonga mwamba na kutamani kuolewa ndoa ya kimyakimya. Msnii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda akiwa na mpenzi wake Luteni Kalama. Akizungumza kwa masikitiko mwanadada huyo aliyewahi kutwaa taji la Miss Ruvuma alisema, maisha ya uchumba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa

BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...

 

11 years ago

GPL

Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala

Konde Mbelwa akiwa chini baada ya kipigo kutoka kwa Karama Nyirawila hayupo pichani . Na Richard Bukos
PAMBANO la ndondi kugombea mkanda wa ubingwa wa UBO, kati ya bondia Kalama Nyilawila na Said Mbelwa lililofanyika usiku wa kuamkia jana Jumapili kwenye Ukumbi wa Friends Corner Hotel, Manzese jijini Dar es Salaam, lilikatishwa kutokana na… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani