KARAMA: ISABELA NI MSALABA WANGU
![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKgYXSnP4aH61892uhZZAsg7qzkbuHnKxo1i78GUkHjqQCh75kxNQ63mLy2pZbq9EE6vy9mCCLxw-CmQ5GtcooCS/kalama.jpg)
Stori: Imelda Mtema MKONGWE wa Bongo Fleva na mwanachama wa kundi la Gangwe Mob, Luteni Karama ambaye ni mchumba wa aliyekuwa Miss Ruvuma miaka ya nyuma, Isabela Mpanda, amekiri kuwa bibie huyo ni msalaba wake, hivyo hata amkosee kiasi gani, hatamuacha. Aliyekuwa Miss Ruvuma miaka ya nyuma, Isabela Mpanda akipozi. “Mimi nimeshakubali kuwa Bela ni msalaba wangu na ndiyo maana hata kama ananikosea vipi au mimi namkosea,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL-RNST4yqvTZWBzzgpCeKlQRbrPmjYlDzyZWBm9AwsO3pJOa4DVzedI9rT*9gaBavIeXC2-sNDgI9tYb9xfKw4c/Kalama.jpg)
ISABELA, KARAMA WAMWAGANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxU5bvtig540yXh3qI8vJ2aetrCkBKdPm3xv*N9h2g81pdHzsIbghRqic6U*R8nGJhs5VgZmDtiLxY6bzEFw-BTu/Isabela.jpg?width=650)
NDOA YA ISABELA KARAMA YABUMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyjeeeENTG3iBKu0UjuiQeOfep5vgx4CZ3CpR*Sl3Rd-NcnToOt41KVDFLYF4lGyEhDX3MVSu6U8CzAuRcV7hzei/333333.jpg?width=650)
ISABELA: KARAMA ALINIPA MIMBA 4 ZIKAHARIBIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSIKvS0tn4p8uxsdunqUmO9ez6hJ5EfTaXyJFUCDTd6HTY6t7Vamhfz-gi*TaURu1jGEaaImdoppzL9H*1OdQNie/PETEBELLANAKALAMA4.jpg?width=650)
LUTENI KARAMA ALIVYOMVISHA PETE YA UCHUMBA ISABELA MPANDA
9 years ago
Bongo529 Dec
Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
![Chagga-na-Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Msalaba mwekundu ‘wapigwa jeki’
CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja, kimepokea msaadawa vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili wawezekufanya kazi kwa ufanisi. Msaada huo ulikabidhiwa...
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.
10 years ago
Habarileo02 Aug
Ajitengenezea msalaba, kaburi kabla ya kifo
MCHORAJI maarufu katika Mji wa Namanyere wilayani Nkasi, Gilbert Paul (38), ambaye alishaanza kujiandalia maziko kwa zaidi ya miaka 15 sasa akiwa hai buheri wa afya, anatarajia kuanza kujichimbia kaburi miezi mitatu ijayo, ili liwe tayari kuhifadhi mwili wake mara mauti yatakapomfika.