Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbelwa amtupa Nyilawila

Bondia Said Mbelwa amesema aliamua kuanzisha vurugu na kumbeba mpinzani wake Karama Nyilawila kisha kumtupa nje ya ulingo katika pambano lao la juzi la ubingwa wa Dunia wa UBO baada ya kuona dalili za kuhujumiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa

BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...

 

11 years ago

GPL

Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala

Konde Mbelwa akiwa chini baada ya kipigo kutoka kwa Karama Nyirawila hayupo pichani . Na Richard Bukos
PAMBANO la ndondi kugombea mkanda wa ubingwa wa UBO, kati ya bondia Kalama Nyilawila na Said Mbelwa lililofanyika usiku wa kuamkia jana Jumapili kwenye Ukumbi wa Friends Corner Hotel, Manzese jijini Dar es Salaam, lilikatishwa kutokana na… ...

 

11 years ago

GPL

KARAMA NYILAWILA KUTWANGANA NA SAID MBELWA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO utakaofanyika Mei  24 mwaka huu katika ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST, Anthony Rutta. (Picha na Super D)

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO ifikapo Mei  24 mwaka huu  katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam. katikati ni katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST Anthony Rutta. Picha na Duper D

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba amtupa mwanawe ndani ya maji

Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.

 

10 years ago

GPL

MAMA YAKE AMTUPA, KISA MGONJWA

Stori: Gabriel Ng’osha na Shani Ramadhani MTOTO Sauda Mohamed (6) mkazi wa Kigogo, Dare s Salaam ameokotwa na wasamaria wema baada ya kutupwa na mama yake ambaye hajafahamika.
Habari zinasema mtoto huyo baada ya kuokotwa alifikishwa katika Kitengo cha Ustawi wa Jamii Wilaya ya Ilala ambako alipokelewa na kulelewa. Mtoto Sauda Mohamed aliyeokotwa na wasamaria wema baada ya kutupwa na mama yake. ALIVYOOKOTWA
Sauda...

 

11 years ago

Habarileo

Amtupa mwanawe usiku aliwe na fisi

JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mkazi mmoja wa kijiji cha Songambele wilayani Maswa mkoani hapa, kwa tuhuma za kutaka kumuua mtoto wake kwa kumtupa na kumtelekeza nje ya nyumba ili aliwe na fisi.

 

10 years ago

GPL

MWANZA: MAMA AJIFUNGUA MTOTO, AMTUPA DAMPO

Wakazi wa Mkuyuni jijini Mwanza wakiwa katika eneo alilotupwa mtoto wakisubiri polisi. Polisi akishirikiana na wananchi kuuchukua mwili wa mtoto huyo katika jalala alipotupwa na mama yake mzazi. ...wakisaidiana kuubeba mwili wa mtoto.…

 

10 years ago

Vijimambo

KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI


Daraja
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani