Mbelwa amtupa Nyilawila
Bondia Said Mbelwa amesema aliamua kuanzisha vurugu na kumbeba mpinzani wake Karama Nyilawila kisha kumtupa nje ya ulingo katika pambano lao la juzi la ubingwa wa Dunia wa UBO baada ya kuona dalili za kuhujumiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa
BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o-iN*f1vZmSo8IhAOA5NH7mHVe9-kkTWIXVhGEaq8P0Z6S5fo*JmgLxqTYcThpQFB4bIAOsFe8y80knSDIrH1x/pambanooo.jpg?width=650)
Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala
11 years ago
GPLKARAMA NYILAWILA KUTWANGANA NA SAID MBELWA MEI 24, 2014
11 years ago
Michuzi14 May
MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Baba amtupa mwanawe ndani ya maji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouurnZRbG5cx*sJc1za1wXxP0sMLny8VQcTc8rhFAOFrccOM-nbz4cfkqg5Tyd3x9iNC24iVUUyV922NSz8iHpWeG/MTOTO.jpg)
MAMA YAKE AMTUPA, KISA MGONJWA
11 years ago
Habarileo09 Apr
Amtupa mwanawe usiku aliwe na fisi
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mkazi mmoja wa kijiji cha Songambele wilayani Maswa mkoani hapa, kwa tuhuma za kutaka kumuua mtoto wake kwa kumtupa na kumtelekeza nje ya nyumba ili aliwe na fisi.
10 years ago
GPLMWANZA: MAMA AJIFUNGUA MTOTO, AMTUPA DAMPO
10 years ago
Vijimambo09 Jan
KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/12/141112112238_tower_bridge_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...